SOBY
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 1,268
- 457
Chama chenye more than 2/3rd ya bunge ndiyo kinachongoza Tanznia, kwa kuwa kinaweza kumtoa rais yoyote in a minute. Ikitokea CDM na CUF kwa pamoja wakawa na 67%... wataungana na kuwa na nguvu yakumu impeach rais?Jibu lako ni rahisi sana nafikiri umeshajijibu KATIBA hiyo 25% unayoisema inakubalika kwa katiba tuliyonayo sasa.
Au watagombana kama kawaida?