nimeshangazwa sana na chama cha demokrasia na maendeleo chadema kwa upuuzi kinaoendelea nao huko Arusha je wanataka watu wafe ili wapate umaarufu au ndio upuuzi gani??mmekwisha ccm wamekwisha wazidi kete,hamna jipya.
nimeshangazwa sana na chama cha demokrasia na maendeleo chadema kwa upuuzi kinaoendelea nao huko Arusha je wanataka watu wafe ili wapate umaarufu au ndio upuuzi gani??mmekwisha ccm wamekwisha wazidi kete,hamna jipya.
Angalie asije na huo ufunguo wa kabati ukapoteaakili unayo lakini naona umeiweka kabatini.pole siku utakapotaka kuitumia utakuta imechacha.