mtukichwa
Member
- Oct 11, 2010
- 34
- 8
Mungu ana akili sana, kwa maana just imagine Kama sauti ingekuwa inasafiri fasta kuliko mwanga. Maana kwa Hali hii ingekuwa Shida, maana Mtu huonekana mwenye busara mpaka pale atakapofungua kiongeleo ama liongeleo lake. Sasa imagine kwamba ungeweza kujua ujinga wa Mtu kabla hajaongea.