Chadema mmejifunza nini kutokana na kauli ya mwanasheria mkuu wa serikali?

Watajifunza nini kaa si kila siku kuomba Mwongozo? mwishowe itajakuwa hivi kwa Mbunge wakianza na wa
  1. katanua mdomo kwa kuingiza vidole ni TUSI hil
  2. Dhakari TUSI kubwa
  3. Segembe wowowo nalo TUSI
  4. TAARABU NA VIDOLE JUU
  5. KINYUMENYUME
  6. Tusi aliyefuata
  7. Tusi Mwongozo p/se
  8. Tusi
  9. Tusi
  10. hatimaye Ustadhi toka chama cha kabinuka juu ya meza
Mambo ya kutingisha kiberiti au kujua sheria hayafai, sasa tuseme ukikataliwa Mwongozo wako ndo utoke?
 
Sidhani kama ni cdm peke yao wanaopaswa kujifunza(kama kweli kuna cha kujifunza katika kauli ile) nadhani tunapaswa wote9cdm ccm na wananchi wote) kujifunza na kuona kwa kiasi gani serikali yetu unavyoweka nchi hii na maslahi ya watu rehani kwa kuendelea kuwa na mwanasheria wa hovyo na asiyefikiri kama werema.sidhani kama alipaswa kutoa matusi yale dhidi ya wabunge wote (hii ni kwasababu wabunge angalau wote akiwemo yeye wana nywele lakini haamini kuwa wanaweza kufikiria).kama mwanasheria mzoefu alipaswa kutafuta maneno yenye staha kujibu hoja ya lissu hata kama ungekua upuuzi wa namna gani.watu watashindwa kuelewa nani mjinga na nani mwerevu kama anayedai mwenzie ni mjinga anatukana hata kuliko huyo mjinga.

pamoja mkuu.
 
Ukikosa hoja imekuwa ni kawaida watu kutukana ama anatumia sauti kujibu na si hoja, Nilichojifunza ni kuwa ccm wameishiwa hoja ,wameishiwa uwezo wa kuendelea kutawala na sasa liwalo na liwe na kazi moja tu ccm imebaki nayo ni kuharibu 2 na ndio maana CDM limekuwa kimbilio la watu makini na wanaojitambua
Naanza kwa kunukuu,"BINADAMU TUMEPEWA VICHWA KWA AJILI YA KUFIKIRI NA SIO KUFUGA NYWELE,HII INA MAANA KUWA SIO KILA MWENYE NYWELE ANA UWEZO WA KUFIKIRI".Critically discuss this statement.
 
[h=6]"Na ule msemo akili ni nywele kila mtu anazo? Kwa nini uhamaki?! Ilhali kilichosemwa ni kuwa kichwa kazi yake sio kubeba nywele bali pia na akili! Wewe unazira na kukasirika!" .Nukuu ya Balozi Patrick Tsere katika FB[/h]
 
Na imani kuna mbunge atairejesha kauli ile tena namba imlenge ndugai direct kama hajarusha ngumi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wapo watu unaweza ukajifunza ya maana kutoka kwao,
Huyu sio miongoni mwao!!
 
nimejifunza kwamba KUWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YA TANZANIA SI LAZIMA UWE NA AKILI TIMAMU.
 
Nimejifunza kuwa, katika katiba mpya rais asipewe mamlaka ya kuteua Mwanasheria mkuu wa serikali, ndio sababu tunaletewa kituko au kilaza.
 
Nimejifunza kuwa, katika katiba mpya rais asipewe mamlaka ya kuteua Mwanasheria mkuu wa serikali, ndio sababu tunaletewa kituko au kilaza.
"aisifuye mvua imemnyea"
Nimejifunza kuwa ,ukpewa madaraka kwa muda mrefu unalewa,na kujipa hati miliki.
 
Back
Top Bottom