William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
"TABIA YA KUFUNIKA KOMBE MWANAHA APITE ITAKUJA ITUcost" ni kauli aliyotoa mbowe bungeni wakati wa kupitisha mswaada wa katiba wenye mapungufu kibao. Ambao zenji walichana na hawakufuatwa kuuliza tena.
Baada kuupigia kelele. Zitto akawaelekeza pa kuwazibia mdomo. Mkaenda ikulu mlichojadilia na kukubaliana siri yenu mpaka leo.
Mkakubali tusijadili kuwepo au kuwepo kwa muungano. Siwalaumu kwani mlipofikia iliitajika busara zaidi.
Biblia inasema mkinyamaza ata milima itasema.
WAZANZIBAR TENA BILA YA MUONGOZO WA CHAMA CHOCHOTE WANASEMA MUUNGANO HAWAUTAKI. Moto ndio unakolea. Na wanahaki ya kufanya hivyo kwani wasiwasi wao ni halali.
Mafuta kuwa ya muungano wakati dhahabu, tanzanaiti na almasi mikataba inatuachia mashimo na milahaba ya 4% na tunajisifu imepanda!
Wezi wa bajeti ya muungano wanavyotanua mtaani.
Hawajadanganyika na nusu ya wajumbe wa kamati. Chadema mlifunika kombe zenji wamelifunua akuna mwanaharamu
Nb. Wachangiaji wengi hawataki kukosolewa nategemea kutukanwa humu. Ila ukilazimisha tuwe na mtazamo moja hakuna haja ya kujadili. Na naamini mtu hujifunza zaidi kwa kukosolewa kuliko kusifiwa. Sifa zinalevya. Mf watz wakarimu madini yanaenda.
Baada kuupigia kelele. Zitto akawaelekeza pa kuwazibia mdomo. Mkaenda ikulu mlichojadilia na kukubaliana siri yenu mpaka leo.
Mkakubali tusijadili kuwepo au kuwepo kwa muungano. Siwalaumu kwani mlipofikia iliitajika busara zaidi.
Biblia inasema mkinyamaza ata milima itasema.
WAZANZIBAR TENA BILA YA MUONGOZO WA CHAMA CHOCHOTE WANASEMA MUUNGANO HAWAUTAKI. Moto ndio unakolea. Na wanahaki ya kufanya hivyo kwani wasiwasi wao ni halali.
Mafuta kuwa ya muungano wakati dhahabu, tanzanaiti na almasi mikataba inatuachia mashimo na milahaba ya 4% na tunajisifu imepanda!
Wezi wa bajeti ya muungano wanavyotanua mtaani.
Hawajadanganyika na nusu ya wajumbe wa kamati. Chadema mlifunika kombe zenji wamelifunua akuna mwanaharamu
Nb. Wachangiaji wengi hawataki kukosolewa nategemea kutukanwa humu. Ila ukilazimisha tuwe na mtazamo moja hakuna haja ya kujadili. Na naamini mtu hujifunza zaidi kwa kukosolewa kuliko kusifiwa. Sifa zinalevya. Mf watz wakarimu madini yanaenda.