The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,163
Nachelea kuwaasa wanachadema kwa maneno kama vile hukumu ni hapahapa duniani na kila aliyeua kwa upanga naye atauawa kwa upanga,ioneeni huruma hii serikali ya jk hivi hamna jema ililofanya au mnaona mabaya tu?kwanza mnahatarisha usalama wa nchi,pili mkumbuke mkiingia madarakani nanyi mtafanywa haya mnayofanya sasa kumbukeni 'no one is perfect'