Kilahunja
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 1,502
- 341
Wakat wa kampen ya uchaguz, si chadema wala ccm, wote walitumia kila njia kuonyesha mabavu, walitumia helikopta kuomba kura, na iman sio lazima mpaka chadema iwe madarakan ndo ichukue hatua, if they real care(chadema) they should show us right now kabla tujawapa utawala by 2015, and if they can do nothing, then hatutawaelewa na wote wataingia ktk kund moja la kutafuta utawala bila kujal maslah ya wananch wao..AM DONE.