CHADEMA mkiishindwa na CCM safari hii mjiue!

Kwa taarifa yako yeyote atakaye simama kwa chadema ana nafasi ya kulinyakua jimbo.Sizungumzii ushabiki
bali ni hali halisi.CCM wameishaichoka kabisa.
AruMeru sio Pemba ambako CUF haina na haitakuwa na mpinzani. Sioi, mkwe wetu akiteuliwa, Nape na Lowasa wataongea lugha moja!
 
basi bwana msiungane mtashinda...chama chenu kina nguvu na ushawishi mkubwa tanzania...But mimi naamini katika umoja ni nguvu utengano ni udhaifu wewe unaamini vinginevyo,ndio demokrasia hiyo tusonge mbele..

Nyie CCM Mmeungana na nani?
 
Arumeru chadomo wakipata hata asilimia kumi wafanye sherehe, igunga waliba vituo vitano walimu wasio waaminifu walikamatwa wakitiiki kwa kashindwa wa chadomo
 
Taarifa kamili ukitaka chukua usipotaka ...

CCM inashinda kwa zaidi ya 70%...

Nyie vyama gawanyeni hiyo 30% 15cdm, tlp 3% cuf 3% cck 3% etc..
 
ni ujinga wa watanzania wanaoneshwa njia ya uzima hawataki kupita sasa itakuaje?
 
Mrema hakutaka kumsikiliza Mwalimu. Mwalimu alimwambia mapema tu kuwa amejiunga na wahuni ambao wanataka kutumia umaarufu wake wa kisiasa wakati huo kwa malengo yao. Mrema akamdharau Mwalimu hasa baada ya kupata support kubwa sana toka kabila lake ili awe Rais wa JMT. Uchaguzi wa 1995 ukafanyika yaliyofuata baada ya hapo ni historia tamu mno kusimulia. Mrema atuuzie mikanda ya video alizorekodi tangu anahama CCM, anagombea Urais kwa tiketi ya NCCR hadi anatimkia TLP. Asiisahau ile episode ya Tanga!
CHADEMA inaonekana kujijenga kitaasisi zaidi ukiondoa mapungufu ya hapa na pale. Bado safari ya kujenga taasisi hii ni ndefu na yenye vikwazo vingi. Kinachotakiwa nchi hii ni TAASISI na ASASI zenye nguvu sio watu. Si unaona CCM waliwaachia watu flani wakawa na nguvu wanavyohangaika nao? Kumvua mtu uongozi kwa kukosa sifa imekuwa shughuli pevu!

umesema vizuri sana,lakini nina mashaka pia na chadema kuridhika mapema na vitendo vinavyoshiria ubakaji mkubwa wa demokrasia ndani ya chama hicho kinachojitambulisha kutokana jina lake kama cha kidemokrasia,ipo mifano mingi sina haja ya kuitaja kusapoti tuhuma hizi za ubakaji ndani ya chadema,natamani kuanzisha mada kuhoji hii lakini nachelea cuz najua haitasurvive itafungwa haraka sana,lakini jambo hili lipo na mifano ipo,hii itakipasua chama siku moja kama hiyo hadithi ya tanga na mrema na marando pamoja na magenge yao.
 
Ni kweli umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Lakini ni vyema kumfahamu vizuri unayeungana naye. Mnaweza kuwa na muungano wa hamasa kama wa ODM ambao hauna tija yoyote. Tusiwe na muungano kama wa gunia la viazi ambalo likichanika viazi vyote vinatawanyika. Mpaka sasa CDM ina potential kubwa msikurupuke jengeni nguvu kubwa kwa vijana na kupanga safu ili mtakapoingia madarakani muwe na mipango endelevu kama ya Kagame.Msitengeneze mtandao wa kiushikaji na baadaye mnaiacha nchi kwenye umasikini.

lakini chadema hii ni sindio iliyokuwa inaokoteza watu wa kugombea ubunge bila kujali historia zao kwenye ichaguzi uliopita?mi sidhani kama chadema iko tayari kiivyo watu wanavotaka tuamini nadhani bado wanayo kazi ya kufanya kuzidi kujimarisha kwenye ubunge,mkakati sasa ungekua ni kuhakikisha wanakuwa na wagombea wenye ushawishi kwenye majimbo yote tanzania nzima sio sehemu nyingine hawasimamishi mtu sehemu nyingine wanakua na watu hili ni tatizo la kimtandao,linaonyesha chama hakiwajawa na mtandao unaoleweka na wenye wigo mpana zaidi na hakuna anaeliona hili kila mtu yuko busy kwenye urais wa slaa,haiwezekani.
 
Nikishajua post ni ya Kimkardash sisomi kabisa napita mazima

kukwepa comment zangu is not gonna help either,unachotakiwa ni kuwa tayari kuuface ukweli na kuufanyia kazi ili ukisaidie chama chako hicho cha vinega,mimi huwa niko hapa kuwapa ukweli ambao viongozi wenu hawapendi nyie vinega wao muusikie kwa kuwa wanajua mtachukia,mi sijali,nasema tu.
 
Nyie CCM Mmeungana na nani?

Hilo ndio tatizo la chama cha vinega na upinzani kiujumla hapa tanzania,kila kitu mtanataka mfanane na chama ambacho mnadai mnataka kuking'oa madarakani ndio maana mmekua mkikwama katika azma yenu hiyo ya muda mrefu sasa,kenya,malawi,zambia wamefanikiwa nyie bado mnataka kwanza mfanane fanane na ccm hivi then ndio muwang'oe
 
Hivi kwa uongozi wa watz na raslimali zao bado mnaongea mambo ya 'ukwe' acheni upumbavu nyie wa tz!
 
Uzini ilikuwa 5% magwanda 95% CCM, Arumeru na Lowassa ni kama Uzini na Razza.

Hayo mapande ya CCM unayoyafikiria yatakupigia wewe kura, ujuwe unajipa moyo tu lakini matokeo umesha yajuwa. Huna chako.
Correction. Chadema haishindani na Lowassa Arumeru. Kwa hiyo ufananisho wako na Razza wa Uzini hauna mshiko.
And by the way Chadema is a party in ascendancy while CCM is falling down. Kwa hiyo hata kama CCM watashinda Arumeru kwa kuhonga na kutumia nguvu ya fedha za Lowassa epitath yao tayari imeshaandikwa. It is just a matter of time. Lakini mnaweza kujiliwaza kama wale abiria wa Titan walivyokuwa wakiamini kuwa meli yao ni unsinkable.
 
umesema vizuri sana,lakini nina mashaka pia na chadema kuridhika mapema na vitendo vinavyoshiria ubakaji mkubwa wa demokrasia ndani ya chama hicho kinachojitambulisha kutokana jina lake kama cha kidemokrasia,ipo mifano mingi sina haja ya kuitaja kusapoti tuhuma hizi za ubakaji ndani ya chadema,natamani kuanzisha mada kuhoji hii lakini nachelea cuz najua haitasurvive itafungwa haraka sana,lakini jambo hili lipo na mifano ipo,hii itakipasua chama siku moja kama hiyo hadithi ya tanga na mrema na marando pamoja na magenge yao.
Aah, yaani wazee wa chama kumshauri Zitto Kabwe asigombee wenyekiti 2010 ndiyo kubakwa kwa demokrasia, eeh?
 
Aah, yaani wazee wa chama kumshauri Zitto Kabwe asigombee wenyekiti 2010 ndiyo kubakwa kwa demokrasia, eeh?

suala sio kumshauri bali ni misukosuko aliyoipata mwanasiasa huyo kijana alipoonyesha nia ya kutaka kutumia haki yake ya kidemokrasia na mpaka leo kwa "dhambi" hiyo zitto kuna baadhi ya wanachadema bado hawajamsamehe mpaka leo.

Hiyo ni moja pili ni pale chacha wangwe alipotangaza kugombea umakamu mwenyekiti,unakumbuka hali ilikuwaje upande wake?kama sio ushawishi mkubwa aliokua nao chacha ule uchaguzi asingeshinda,kina mbowe walimtaka said arfi kwa kuwa ni mtu mpole..lakini hata aliposhinda wakubwa hawakupenda bado wakaendelea kumuandama tu mpaka kifo chake kafa akiwa ahana mahusiano mazuri na mwenyekiti wake.

Sasa hivi kuna kila jitihada za kukatisha tamaa watu kuchukua fomu za kuomba kupitishwa kugombea urais;wapo watu huko chadema wanataka slaa awe mgombea atakaepitishwa bila kuwa challenged na mtu yeyote na aole wake atakae jitokeza kujaribu kupambana nae,utaona atakavyo shambuliwa na kuandamwa.Huo ndio ubakaji.
 
Na hasa kama CCM watalainika na kukubali ulaghai wa watu wa Lowassa kwamba kuna umuhimu wa lowassa kupanda jukwaani watashindwa kirahisi sana kama ilivyotokea arusha mjini kwenye uchaguzi uliopita.
 
CHADEMA haipangiwi masharti na vibaraka wa humu jf, chadema inapewa masharti na nguvu ya umma
 
Back
Top Bottom