Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,359
any way wakija watu wanaoongozwa na emotions hapa ujiandae kutukanwa ila kifupi ruzuku ya chadema kwa mwaka jana imetumika kugharamia maandamano na ule mkakati wa kuifanya nchi isitawalike.
Usisahau mshahara wa katibu Mkuu wetu ni mkubwa pia tulimkopesha shilingi 140