CHADEMA, Mgogoro wa Ruzuku mikoani ni bomu la kulipuka

Sense of desperation kama hamjijuwi kuwa mumeingiwa na mchecheto poleni kweli nyie muna vichwa vya panzi too easy to be predictable ni muendelezo wa hoja za masalia jee zinaweza kuwaokoa hapana
 
Zimeanza kuenezwa propaganda za ruzuku ya chama kuwa hazionekani zinafanya nini. Wanajamvi naomba kuwakumbusha kwamba hiyo propaganda ilitumika sana mwanzoni mwa mwaka jana baadae ikafifia ghafla. Sasa baada ya zoezi la masalia kushindwa vibaya zimeanza juhudi za kulifufua.

Niliwahi kuudhuria kikao kimoja cha ndani cha chama na Dr Slaa alitolea maelezo ruzuku ya chama kama ifuatavyo:-

1. Kununulia pikipiki zenye vipaza sauti ambazo zitasambazwa kwa kila kata nchi nzima mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2014. Na sehemu zenye mapori, zisizopitka kwa pikipiki yatapelekwa magari.

2. Kuajiri makatibu competent kwa kila wilaya na fedha za ruzuku zitumike kuwalipa mshahara.

3. Lakini pia magari ya M4C na vifaa vingine vya chama vimenunuliwa na fedha hizo.

4. Alisema pia wenyeviti na makatibu katika baadhi ya mikoa walioomba wenyewe ruzuku isitishwe maana ilichangia migogoro katika baadhi ya maeneo na viongozi hoa walikubaliana naye na kumshangilia kwa mipango yenye uhakika.

Ninawaomba tusisubiri akina Mnyika kuja kukanusha propaganda za kwenye mitandao, wana mambo mengi ya kufanya tuje hapa na kukanusha upuuzi huu. Ili mradi una uhakika na unachokisema.

Tutayaona mengi na kusikia mengi, njoo na facts tuwaumbue ni wepesi hawa!!!!!!
Huu uzi umekaa kimasaliasalia yenyê support ya magambagamba!!
 
Nimejua siri nzito wengi wa wanajamvi ni wototo wa vyuo vikuu ambao hulipwa posho ya sh elfu tano kwa siku kuipigia debe chadema kwenye mitandao mbalimbali kama ilivyokuwa katika maandamano ya vijana wa udom.ndio maana hoja nyingi za watoto hawa zikipigia debe chadema hazina uzito bali zimejaa matusi.taarifa hii ni kweli kwani bavicha mmoja alinieleza.hivi ndivyo fedha za ruzuku zinavyofanya kazi
 
Zimeanza kuenezwa propaganda za ruzuku ya chama kuwa hazionekani zinafanya nini. Wanajamvi naomba kuwakumbusha kwamba hiyo propaganda ilitumika sana mwanzoni mwa mwaka jana baadae ikafifia ghafla. Sasa baada ya zoezi la masalia kushindwa vibaya zimeanza juhudi za kulifufua.

Niliwahi kuudhuria kikao kimoja cha ndani cha chama na Dr Slaa alitolea maelezo ruzuku ya chama kama ifuatavyo:-

1. Kununulia pikipiki zenye vipaza sauti ambazo zitasambazwa kwa kila kata nchi nzima mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2014. Na sehemu zenye mapori, zisizopitka kwa pikipiki yatapelekwa magari.

2. Kuajiri makatibu competent kwa kila wilaya na fedha za ruzuku zitumike kuwalipa mshahara.

3. Lakini pia magari ya M4C na vifaa vingine vya chama vimenunuliwa na fedha hizo.

4. Alisema pia wenyeviti na makatibu katika baadhi ya mikoa walioomba wenyewe ruzuku isitishwe maana ilichangia migogoro katika baadhi ya maeneo na viongozi hoa walikubaliana naye na kumshangilia kwa mipango yenye uhakika.

Ninawaomba tusisubiri akina Mnyika kuja kukanusha propaganda za kwenye mitandao, wana mambo mengi ya kufanya tuje hapa na kukanusha upuuzi huu. Ili mradi una uhakika na unachokisema.

Tutayaona mengi na kusikia mengi, njoo na facts tuwaumbue ni wepesi hawa!!!!!!
luzuku ya ccm kuhakikisha CDM inasambaratika kabla ya 2014 at any cost.
 
Nimejua siri nzito wengi wa wanajamvi ni wototo wa vyuo vikuu ambao hulipwa posho ya sh elfu tano kwa siku kuipigia debe chadema kwenye mitandao mbalimbali kama ilivyokuwa katika maandamano ya vijana wa udom.ndio maana hoja nyingi za watoto hawa zikipigia debe chadema hazina uzito bali zimejaa matusi.taarifa hii ni kweli kwani bavicha mmoja alinieleza.hivi ndivyo fedha za ruzuku zinavyofanya kazi
Sisi watoto wa vyuo akili zetu tumeziweka kwenye zako au vipi
 
Mdogo wake HE....E naona kakutuma


Member Array


Join Date : 26th September 2012
Posts : 14
Rep Power : 317
Likes Received28

Likes Given0
 
Zimeanza kuenezwa propaganda za ruzuku ya chama kuwa hazionekani zinafanya nini. Wanajamvi naomba kuwakumbusha kwamba hiyo propaganda ilitumika sana mwanzoni mwa mwaka jana baadae ikafifia ghafla. Sasa baada ya zoezi la masalia kushindwa vibaya zimeanza juhudi za kulifufua.

Niliwahi kuudhuria kikao kimoja cha ndani cha chama na Dr Slaa alitolea maelezo ruzuku ya chama kama ifuatavyo:-

1. Kununulia pikipiki zenye vipaza sauti ambazo zitasambazwa kwa kila kata nchi nzima mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2014. Na sehemu zenye mapori, zisizopitka kwa pikipiki yatapelekwa magari.

2. Kuajiri makatibu competent kwa kila wilaya na fedha za ruzuku zitumike kuwalipa mshahara.

3. Lakini pia magari ya M4C na vifaa vingine vya chama vimenunuliwa na fedha hizo.

4. Alisema pia wenyeviti na makatibu katika baadhi ya mikoa walioomba wenyewe ruzuku isitishwe maana ilichangia migogoro katika baadhi ya maeneo na viongozi hoa walikubaliana naye na kumshangilia kwa mipango yenye uhakika.

Ninawaomba tusisubiri akina Mnyika kuja kukanusha propaganda za kwenye mitandao, wana mambo mengi ya kufanya tuje hapa na kukanusha upuuzi huu. Ili mradi una uhakika na unachokisema.

Tutayaona mengi na kusikia mengi, njoo na facts tuwaumbue ni wepesi hawa!!!!!!

Yafuatayo ni mambo yatakayojadiliwa kesho kwenye retreat,na kama yataongezeka itakuwa ni sawa kwa sababu sijafanikiwa kunasa yote.

1.Watajadili mrejesho wa kikao cha Retreat kilichofanyika morogoro Tar.23/10/2012(mrejesho huo unahusiana na Kudhibiti vijana wanaochafua viongozi mtandaoni,Wajumbe walimtaka Dr.slaa kumdhibiti mkewake asiingilie kazi za chaama kwa sababu hana mamlaka yoyote ndani ya chama,Pia kuacha na ajenda ya Urais kwa sababu inakivuruga chama.Pia walijadili nidhamu kwenye vikao vya bunge).

2.Watajadili ripoti ya kurejesha fedha za harambee ya M4C iliyofanyika Jijini DSM mwaka 2012 ambapo fedha ile ilipotea katika mazingira ya kutatanisha.Huku Mh:lema alitakiwa kutoa ufafanuzi kwa maandishi kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa head kwa HARAMBEE ILE.

3.Watajadili namna ya kufanya kikao cha bunge linaloanza,pia wabunge wenye hoja binafsi watatajwa na hoja zao.

4.Watajadili sababu zailizopeleka HARAMBEE YA M4C mwanza kushindwa kifikisha malengo.M4C ya mwanza inatajwa kuchangisha sh:Million 3 huku gharama zamaandalizi zikitajwa kuwa ni zaidi ya Milion.9.4.

5.Watajadli swala la M/kiti taifa wa chadema kutupa kadi ya chama.Hili litaambatana na shutuma zilizoelekezwa ka Dr.slaa kutumia umoja wa vijana Bavicha-sumbawanga kumvuruga Said Arfi kisiasa na kuepelekea kutupa kadi ya chama.(Haapa natajwa binti mmoja wa kitanzania aliyejiunga na chadema akitokea marekani masomoni mwaka 2011,Alipojiunga na chadema aliahidiwa na katibu mkuu kuwa atagombea jimbo la sumbawanga mwaka 2015 na bavicha wamekuwa wakitumiaka kufanikisha mpango huo)
6.Wabunge watajadili mapokezi ya Mh: lema bungeni na kumshukuru kwa kuwa mvumilivu wakati wote wa kesi yake.

7.Watajadili hali ya hewa mitandaoni dhidi ya viongozi wa chama,hii ni mwendelezo wa checkup ya chama kuhusu kuchafuliwa mitandaoni.
 
kaka nakubaliana kabisa na wewe, ht mie niliona hyo report ya kikao kwa katibu. hv humu jrf kuna mazimwi au! Haya dr. Slaa kajenga nyumb ile kwa pesa yake. Je kikwete nyumba aliyojenga na kuwabomolea watu nyumb yaidi ya 100 na kuwajengea upya, eti zipendezeshe mji wake. alitumia ya ruzuku ya ccm au? Hvy mi nadhani mnaosema kuwa ruzuku nying za cdm hazifanyi kazi labda mmesahau kuwa M4c ndo inayowanyinga ucngizi.
 


..pilau haikai tumboni mwako masaa 24 ...
bali mtoto wako atakapojua a e i o u ataishi milele....tumboni mwake.....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom