CHADEMA, Mgogoro wa Ruzuku mikoani ni bomu la kulipuka

Fungu kubwa la Ruzuku linakwenda kwenye maandamano ya Chadema, karibu wabunge wote huwa wanashiriki na kila baada ya maandamano kuna posho wanagawana viongozi wakuu pamoja na wabunge, bado kuna malazi na chakula kwa wastani kila maandamano makadilio ni 50 Milioni, na wastani wa maandamano yanafanyika kwa mwezi mara mbili, sasa hapo unadhani mikoani watapata nini
Duh, wewe ndio kichwa cha CCM. Kazi kweli. Nina hakika ukirudia kusoma mara ya pili utajicheka mwenyewe
 
Duh, wewe ndio kichwa cha CCM. Kazi kweli. Nina hakika ukirudia kusoma mara ya pili utajicheka mwenyewe
Kweli wewe ndio Chadema-kata unafata mkumbo tu, ebu tuwekee mchanganuo wa Ruzuku wazopeleka mikoani tutajie mikoa minne tu. Mwanza, Mbeya, Mara, Kagera, sio porojo tu
 
Mleta hoja umekurupuka,maana mie nipo mkoani,na wilaya(jimbo) zote za mkoa zinapata ruzuku,zinazofika hadi ngazi ya kata,hoja yako haina mashiko..
 
Kijana wa NAPE yupo kazini ,haya baba hongera naona unafikiria kwa kutumia makamasi badala ya ubongo,haya nenda ofisi za CCM ukachukue posho kwa kazi uliotumwa ya kuja kuleta upuuzi wako.
Umekusea, huyu ni usalama aliesomea nje ya nchi na eti kubobea kwenye kupiga fitna inayoweza kugeuza maji kuwa vumbi!...Sasa angalia wasivyo na akili ya kugundua ni wakati gani fitna hiyo inaweza kufanya kazi...huu si wakati wa kuongea ujinga huu!Na hawa ndiyo washauri wa raisi wetu! Ndio maana kila siku anaongea usaha tu!
 
Kweli wewe ndio Chadema-kata unafata mkumbo tu, ebu tuwekee mchanganuo wa Ruzuku wazopeleka mikoani tutajie mikoa minne tu. Mwanza, Mbeya, Mara, Kagera, sio porojo tu

Mchanganuo wa CDM unakuhusu nini?
Leta mchanganuo wa ufisadi wa CCM hapa.
 
Ndiyo mwisho wako wa kufikiri? usiwe kama Marry Chatanda, useme kilichopo rohoni mwako, wewe CCM, mambo ya chadema yanakuhusu au unaishi kwa kutegemea uandike pumba halafu ulipwe? think before you act,vijana wasomi wenye degree zetu tupo kwa ajili ya kuiongoza chadema bure bila kulipwa chcochote kwa hiyo unajaribu kufananisha CDM na chama cha magamba ,

Usipende kunyosha mkono kwa mwenzio kabla hujaangalia kwako, kwanza CCm wenyeviti wa wilaya na mikoa wana miezi minne sasa hawajalipwa mishahara, tot imekufa maana no ruzuku,mzalendo na uhuru hayauziki maana yanaandika ---- kama zako

Mmeshindwa kumvua uanachama millya jana , mvueni kama umesikia kalivyosema huyo ni kijana anaona mbali si kama wewe au Nape
 
Fungu kubwa la Ruzuku linakwenda kwenye maandamano ya Chadema, karibu wabunge wote huwa wanashiriki na kila baada ya maandamano kuna posho wanagawana viongozi wakuu pamoja na wabunge, bado kuna malazi na chakula kwa wastani kila maandamano makadilio ni 50 Milioni, na wastani wa maandamano yanafanyika kwa mwezi mara mbili, sasa hapo unadhani mikoani watapata nini
Hayo uliyosema yapo kwenye magamba tu! Usijaribu kuleta sera za magamba cdm.
 
Hayo uliyosema yapo kwenye magamba tu! Usijaribu kuleta sera za magamba cdm.
Kaka, tupe basi mchanganuo wa Ruzuku ya Chadema inayokwenda mikoani wananchi wajue sio kuleta porojo za magwanda ya mgambo
 
Kijana wa NAPE yupo kazini ,haya baba hongera naona unafikiria kwa kutumia makamasi badala ya ubongo,haya nenda ofisi za CCM ukachukue posho kwa kazi uliotumwa ya kuja kuleta upuuzi wako.
Nakushauri uisome tena Thread kwa makini!
 
Kweli wewe ndio Chadema-kata unafata mkumbo tu, ebu tuwekee mchanganuo wa Ruzuku wazopeleka mikoani tutajie mikoa minne tu. Mwanza, Mbeya, Mara, Kagera, sio porojo tu

Kaka, tupe basi mchanganuo wa Ruzuku ya Chadema inayokwenda mikoani wananchi wajue sio kuleta porojo za magwanda ya mgambo

hawa CDM wanakuwa wakali sana hasa ukianza kugusia swala la mgawanyo wa pesa. tehetehe
 
Tired of these rhetorics and lack of counter arguments.
Members kama hawa ndo wanaifanya JF kuwa kijiwe cha macoconut na wasukuma mikokoteni.
Dr Slaa na hata Zitto wanajua sana kujenga hoja kwa logic,facts na hata figures.
Sasa mtu akiuliza swali ni sharti lijibiwe.
Kama wewe ni msukuma mkokoteni na huna access na jibu KAA KIMYA na bado utaendelea kuwa member wa CDM.

Kijana wa NAPE yupo kazini ,haya baba hongera naona unafikiria kwa kutumia makamasi badala ya ubongo,haya nenda ofisi za CCM ukachukue posho kwa kazi uliotumwa ya kuja kuleta upuuzi wako.

wewe ndo unajibu utumbo, kama nae hayupo kazini thibitisha. Hujui kilichomsukuma hadi kusema nape yupo kazini

These type of answers make me sick
 
Kuhusu ruzuku, fanya japo kautafiti kadogo na utagundua mambo yafuatayo;
1,. kuwa kila mkoa unajua ulichangia kiasi gani na wanapaswa kupata kiasi gani.
2.kila wilaya na Jimbo walichangia ngapi na wanapaswa kupata ngapi.
3.Walkiotimiza masharti tayari wanapokea ruzuku zao tnagu mwezi machi sasa unahoji vitu ambavyo tayari vinatekelezwa? waliomaliza kufungua account za chama wanapokea ruzuku, na ukija hapa hebu sema ni mkoa gani umewakuta wanalalamika , la sivyo haya nio majungu na upotoshwaji tuu hapa.

Ruzuku ya CCM zaidi ya milioni 800 unajua inaenda wapi? unajua mgawo wake? kamuulize katibu wa ccm wa wilaya ama mkoa kama anajua mkoa wake ulichangia ngapi na anapaswa kupata ngapi.
 
apolycaripto

Mkuu mahala popote kuna malalamiko na haswa kama hakuna mgawanyo sawa wa kimaisha. Pengine unachoshindwa kutazama ni kuwa na mahesabu mkononi ukaweza kuyaweka hapa tukatazama haya madai lakini ni muhimu zaidi kwako wewe kuweza kutofautisha hoja yako ya kimkoa ama kiwilaya na maisha ya mtu binafsi.

Matumizi ya chama hayahusiani kabisa na maisha ya viongozi ikiwa viongozi hao wana biashara zao binafsi ama ni wabunge wanaolipwa mishahara na posho za serikali tofauti na mwenyekiti wa CDM mkoani/wilayani anayesubiri ruzuku kutoka makao makuu ya chama kwa ajili ya matumizi ya chama. Na wala usije lingansha mwenyekiti wa CCM na mwenyekiti wa vyama vya Upinzani huko wilayani ama ktk majimbo maana mwenyekiti wa CCM ni sawa na kiongozi wa serikali ambaye hata mkuu wa wilaya au polisi wanampa heshima kama kiongozi wao...Hawa wana miaya ya kuvuta fedha wakitumia vitisho utadhani Mafia au Bikers gang na hasa kwa Watanzania wenye asili ya Asia..Nina hakika hawa viongozi wa chama mikoani na wilayani wana nguvu kubwa sana ya utajirisho kupitia jina la CCM..

Ruzuku na maisha ya mtumishi wa chama haihusiani, ruzuku hazitolewi kuboresha maisha ya watumishi wa chama bali kuboresha maendeleo ya chama ktk maeneo husika. Kama kuna ushahidi wa fedha za ruzuku kutumika hovyo ama kuboresha maisha ya viongozi wa makao makuu ushahidi huo wa mahesabu unatakiwa kuonyesha matumizi mabaya lakini sii swala la kutazama tofauti za kimaisha baina na viongozi wenyewe kama ndio ushahidi wa mgao wa ruzuku.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mahala popote kuna malalamiko na haswa kama hakuna mgawanyo sawa wa kimaisha. Pengine unachoshindwa kutazama ni kuwa na mahesabu mkononi ukaweza kuyaweka hapa tukatazama haya madai lakini ni muhimu zaidi kwako wewe kuweza kutofautisha hoja yako ya kimkoa ama kiwilaya na maisha ya mtu binafsi.

Matumizi ya chama hayahusiani kabisa na maisha ya viongozi ikiwa viongozi hao wana biashara zao binafsi ama ni wabunge wanaolipwa mishahara na posho za serikali tofauti na mwenyekiti wa CDM mkoani/wilayani anayesubiri ruzuku kutoka makao makuu ya chama kwa ajili ya matumizi ya chama. Na wala usije lingansha mwenyekiti wa CCM na mwenyekiti wa vyama vya Upinzani huko wilayani ama ktk majimbo maana mwenyekiti wa CCM ni sawa na kiongozi wa serikali ambaye hata mkuu wa wilaya au polisi wanampa heshima kama kiongozi wao...Hawa wana miaya ya kuvuta fedha wakitumia vitisho utadhani Mafia au Bikers gang na hasa kwa Watanzania wenye asili ya Asia..Nina hakika hawa viongozi wa chama mikoani na wilayani wana nguvu kubwa sana ya utajirisho kupitia jina la CCM..

Ruzuku na maisha ya mtumishi wa chama haihusiani, ruzuku hazitolewi kuboresha maisha ya watumishi wa chama bali kuboresha maendeleo ya chama ktk maeneo husika. Kama kuna ushahidi wa fedha za ruzuku kutumika hovyo ama kuboresha maisha ya viongozi wa makao makuu ushahidi huo wa mahesabu unatakiwa kuonyesha matumizi mabaya lakini sii swala la kutazama tofauti za kimaisha baina na viongozi wenyewe kama ndio ushahidi wa mgao wa ruzuku.

Nashukuru Mods kurudisha hii thread hapa leo.Hii inamaanisha niliyoyatabiri sasa yanaanza kutokea na mfano dhahiri ni CUF na kwa sehemu fulani NCCR Mageuzi.Mgogoro mkubwa kati ya Hamad Rashid na Seif Sharif Hamad umekuzwa na utofauti wa kimtizamo hasa katika uendeshaji wa chama katika matawi (wilayani na vijiji).Siungani na Hamad Rashidi katika kila hoja yake ila hili la kutumia fedha nyingi IGUNGA huku matawi yakifa na ofisi za chama kufungwa kwa kushindwa kulipa pango, hili ndilo tatizo.

Nadhani utambue nilichokua nakiongelea ni gharama za uendeshaji katika mikoa,wilaya na matawi na si mishahara ya viongozi wa kada hizo.Hivyo sikuzungumzia maisha yao binafsi japo ni muhimu pia kutizamwa panapo uwezo.Hii na maana hapana kazi ya kujitolea hasa pale penye "rupia".
 
Nashukuru Mods kurudisha hii thread hapa leo.Hii inamaanisha niliyoyatabiri sasa yanaanza kutokea na mfano dhahiri ni CUF na kwa sehemu fulani NCCR Mageuzi.Mgogoro mkubwa kati ya Hamad Rashid na Seif Sharif Hamad umekuzwa na utofauti wa kimtizamo hasa katika uendeshaji wa chama katika matawi (wilayani na vijiji).Siungani na Hamad Rashidi katika kila hoja yake ila hili la kutumia fedha nyingi IGUNGA huku matawi yakifa na ofisi za chama kufungwa kwa kushindwa kulipa pango, hili ndilo tatizo.

Nadhani utambue nilichokua nakiongelea ni gharama za uendeshaji katika mikoa,wilaya na matawi na si mishahara ya viongozi wa kada hizo.Hivyo sikuzungumzia maisha yao binafsi japo ni muhimu pia kutizamwa panapo uwezo.Hii na maana hapana kazi ya kujitolea hasa pale penye "rupia".

apolycaripto,
Aliyerudisha sredi ni huyu hapa:
Nimesoma na kukugongea like kwa kuwa siona kitufe cha sanksi!
Mgongee like basi apaishe ma-Rep Power!
 
Kijana wa NAPE yupo kazini ,haya baba hongera naona unafikiria kwa kutumia makamasi badala ya ubongo,haya nenda ofisi za CCM ukachukue posho kwa kazi uliotumwa ya kuja kuleta upuuzi wako.
inauma eeeh!!
cdm lazima ife.
 
Inamaa kwa majimbo ambayo yalitoa mchango mdogo yanapata ruzuku ndogo? Ikiwa ndivyo huo mgawanyo haupo sawa nadhani kule ambapo mchango wao ni mdogo panahitaji kuangaliwa zaidi ili waamasike zaidi tupate watu wengi
 
Zimeanza kuenezwa propaganda za ruzuku ya chama kuwa hazionekani zinafanya nini. Wanajamvi naomba kuwakumbusha kwamba hiyo propaganda ilitumika sana mwanzoni mwa mwaka jana baadae ikafifia ghafla. Sasa baada ya zoezi la masalia kushindwa vibaya zimeanza juhudi za kulifufua.

Niliwahi kuudhuria kikao kimoja cha ndani cha chama na Dr Slaa alitolea maelezo ruzuku ya chama kama ifuatavyo:-

1. Kununulia pikipiki zenye vipaza sauti ambazo zitasambazwa kwa kila kata nchi nzima mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2014. Na sehemu zenye mapori, zisizopitka kwa pikipiki yatapelekwa magari.

2. Kuajiri makatibu competent kwa kila wilaya na fedha za ruzuku zitumike kuwalipa mshahara.

3. Lakini pia magari ya M4C na vifaa vingine vya chama vimenunuliwa na fedha hizo.

4. Alisema pia wenyeviti na makatibu katika baadhi ya mikoa walioomba wenyewe ruzuku isitishwe maana ilichangia migogoro katika baadhi ya maeneo na viongozi hoa walikubaliana naye na kumshangilia kwa mipango yenye uhakika.

Ninawaomba tusisubiri akina Mnyika kuja kukanusha propaganda za kwenye mitandao, wana mambo mengi ya kufanya tuje hapa na kukanusha upuuzi huu. Ili mradi una uhakika na unachokisema.

Tutayaona mengi na kusikia mengi, njoo na facts tuwaumbue ni wepesi hawa!!!!!!
 
Back
Top Bottom