Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Hivi karibuni CC ya CDM kupitia katibu mwenezi wake JJ MNYIKA ilitoa angalizo kwa serikali ya JK kuhusu kuanguka kwa uchumi wa nchi.
Angalizo hilo lina mapungufu kwani halina msisitizo wa kuonyesha hata viashiria vya kuanguka kwa uchumi wa nchi.
Sisi tunaamini chama kikuu cha upinzani ndicho mkosoaji mkuu wa serikali iliyo madarakani, lakini kwa hili la kuanguka kwa uchumi CDM hawajauonyesha umma madhara ambayo tayari yamejitokezza kwa kuathiri shughuli za uchumi wa wananchi.
Mwaka jana Zitto Kabwe alijiripua bungeni kwa kusema ukweli kuwa serikali ya JK imefirisika hiyo iliamsha watu toka usingizini kuwa kumbe nchi inaelekea shimoni.
CDM inahitaji kutuonyesha ni kwa kiwango gani anguko la uchumi wa nchi limeathiri shughuli za kiuchumi za watanzania mmoja mmoja. Mnyika tafadhali jilipue kama Zitto kabwe usingoje madhara yawe makubwa watanzania wanahitaji kuelimishwa na uenezi wako.
Nawasilisha
Angalizo hilo lina mapungufu kwani halina msisitizo wa kuonyesha hata viashiria vya kuanguka kwa uchumi wa nchi.
Sisi tunaamini chama kikuu cha upinzani ndicho mkosoaji mkuu wa serikali iliyo madarakani, lakini kwa hili la kuanguka kwa uchumi CDM hawajauonyesha umma madhara ambayo tayari yamejitokezza kwa kuathiri shughuli za uchumi wa wananchi.
Mwaka jana Zitto Kabwe alijiripua bungeni kwa kusema ukweli kuwa serikali ya JK imefirisika hiyo iliamsha watu toka usingizini kuwa kumbe nchi inaelekea shimoni.
CDM inahitaji kutuonyesha ni kwa kiwango gani anguko la uchumi wa nchi limeathiri shughuli za kiuchumi za watanzania mmoja mmoja. Mnyika tafadhali jilipue kama Zitto kabwe usingoje madhara yawe makubwa watanzania wanahitaji kuelimishwa na uenezi wako.
Nawasilisha