Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana umeshndwa kututajia majina ya mitaa yote? 2tajie kaka.please
leo hii tar 15. 07. 2012 kumefanyika chaguzi za serikali za mitaa hapa jiji Mbeya ili kuziba nafasi za wenyeviti na wajumbe walio hamia CHADEMA / Kufariki dunia
jumla kulikuwa na chaguzi 10 serikali za mitaa katika hiyo CHADEMA imechukua 8 na CCM 2 tu
mojawapo ni
- ILEMI - CHADEMA pamoja na mjumbe nafasi moja
- ILOLO - CCM
- MWANJELWA - CHADEMA
- MWAKIBETE - CHADEMA
- etc (habari kamili kesho)
furaha yanu kubwa uongozi wangu wote ni CHADEMA kuanzia m/kiti, Diwani, hadi mbunge " so I 'm very happy now "
hizo mbili imekuwaje?
Kuna mdau mmoja aliniambia kwamba hata Manispaa ya Shinyanga mwendo mdundo. Tafadhali wenye data wazimwage hapa pia.leo hii tar 15. 07. 2012 kumefanyika chaguzi za serikali za mitaa hapa jiji Mbeya ili kuziba nafasi za wenyeviti na wajumbe walio hamia CHADEMA / Kufariki dunia
jumla kulikuwa na chaguzi 10 serikali za mitaa katika hiyo CHADEMA imechukua 8 na CCM 2 tu
mojawapo ni
- ILEMI - CHADEMA pamoja na mjumbe nafasi moja
- ILOLO - CCM
- MWANJELWA - CHADEMA
- MWAKIBETE - CHADEMA
- etc (habari kamili kesho)
furaha yanu kubwa uongozi wangu wote ni CHADEMA kuanzia m/kiti, Diwani, hadi mbunge " so I 'm very happy now "
Gud niuzi,! Naomba ndovu moto tasavali
ni haki yako kujidanganya kwa sababu ni aibu sisi tunasikitika kwa nini tumeshindwa mtaa wa ILOLONi ujumbe serikali za mitaa
Nafasi ni 25
CCM imeshinda nafasi 17
CDM ineshinda nafasi 8
Haya ndiyo matokeo halisi ya MBEYA
don't panic ukweli nime uweka na mitaa yote anayebisha aseme na aweke mitaa yote kama nilivyofanya mimisasa which is which?? Mbona mnatuchanganya??
Mnadanganya kwa faida ya nani?? Mara cdm kashinda tukianza kufurai mara ccm kashinda....
Dahh pambaf sana
Ni ujumbe serikali za mitaa
Nafasi ni 25
CCM imeshinda nafasi 17
CDM ineshinda nafasi 8
Haya ndiyo matokeo halisi ya MBEYA
Mkuu umeona hapa chini, sijui ni lipi sahihi maana kuna hadi thread inahizi data chini. Tunaomba mtupe habari kamili wakuu.leo hii tar 15. 07. 2012 kumefanyika chaguzi za serikali za mitaa hapa jiji Mbeya ili kuziba nafasi za wenyeviti na wajumbe walio hamia CHADEMA / Kufariki dunia
jumla kulikuwa na chaguzi 7 serikali za mitaa katika hiyo CHADEMA imechukua 6 na CCM moja (1) tu
mojawapo ni
- ILEMI - CHADEMA pamoja na mjumbe nafasi moja
- ILOLO - CCM
- MWANJELWA MTAA WA BANK - CHADEMA
- MWANSEKWA- CHADEMA
- SINDE - CHADEM
- MWANSANGA - CHADEMA
- KAGERA - CHADEMA (mjumbe wa serikali ya mtaa)
furaha yanu kubwa uongozi wangu wote ni CHADEMA kuanzia m/kiti, Diwani, hadi mbunge " so I 'm very happy now "
Naimani nawewe umeona hizo data kwa juu, bila kutaja mitaa au kata tunapata tabu kuamini habari yeyote!!Ni ujumbe serikali za mitaa
Nafasi ni 25
CCM imeshinda nafasi 17
CDM ineshinda nafasi 8
Haya ndiyo matokeo halisi ya MBEYA
leo hii tar 15. 07. 2012 kumefanyika chaguzi za serikali za mitaa hapa jiji Mbeya ili kuziba nafasi za wenyeviti na wajumbe walio hamia CHADEMA / Kufariki dunia
jumla kulikuwa na chaguzi 7 serikali za mitaa katika hiyo CHADEMA imechukua 6 na CCM moja (1) tu
mojawapo ni
- ILEMI - CHADEMA pamoja na mjumbe nafasi moja
- ILOLO - CCM
- MWANJELWA MTAA WA BANK - CHADEMA
- MWANSEKWA- CHADEMA
- SINDE - CHADEM
- MWANSANGA - CHADEMA
- KAGERA - CHADEMA (mjumbe wa serikali ya mtaa)
furaha yanu kubwa uongozi wangu wote ni CHADEMA kuanzia m/kiti, Diwani, hadi mbunge " so I 'm very happy now "
Ni habari nzuri kuelekea kwenye Ukombozi, Nnauye Jr akisikia lazima ajiharishie na Mr Vasco Da Gama pori a.k.a The Explorer lazima apatwe na Oilcom kwa muda sio BP tena
MPAKA MWAKA 2015 NA rAISI ATAKUWA CHADEMA SEMA AMENI..................leo hii tar 15. 07. 2012 kumefanyika chaguzi za serikali za mitaa hapa jiji Mbeya ili kuziba nafasi za wenyeviti na wajumbe walio hamia CHADEMA / Kufariki dunia
jumla kulikuwa na chaguzi 7 serikali za mitaa katika hiyo CHADEMA imechukua 6 na CCM moja (1) tu
mojawapo ni
- ILEMI - CHADEMA pamoja na mjumbe nafasi moja
- ILOLO - CCM
- MWANJELWA MTAA WA BANK - CHADEMA
- MWANSEKWA- CHADEMA
- SINDE - CHADEM
- MWANSANGA - CHADEMA
- KAGERA - CHADEMA (mjumbe wa serikali ya mtaa)
furaha yanu kubwa uongozi wangu wote ni CHADEMA kuanzia m/kiti, Diwani, hadi mbunge " so I 'm very happy now "
mkuu umeona hapa chini, sijui ni lipi sahihi maana kuna hadi thread inahizi data chini. Tunaomba mtupe habari kamili wakuu.
Naimani nawewe umeona hizo data kwa juu, bila kutaja mitaa au kata tunapata tabu kuamini habari yeyote!!