Mantuntunu
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 137
- 16
Mie ni Mwanachama wa Chadema, lakini naona kama hawa wabunge wetu wanatumia muda mwingi jukwaani. Chonde msiwasahau wananchi majimboni kwenu msije poteza nafasi zenu mwaka 2015.
Najua kuna umuhimu kuendelea kukoleza moto wa mageuzi kwa ajili ya 2015 manake watanzania bila kukumbushwa kumbushwa husahau haraka sana. Wapiga kura wenu ni lazima waone tofauti ya maendeleo baada ya nyie kushika nyadhifa za ubunge na kabla ama mtang'olewa kama wakina marsha wa ccm na kupoteza maana nzima ya upinzani.
Najua kuna umuhimu kuendelea kukoleza moto wa mageuzi kwa ajili ya 2015 manake watanzania bila kukumbushwa kumbushwa husahau haraka sana. Wapiga kura wenu ni lazima waone tofauti ya maendeleo baada ya nyie kushika nyadhifa za ubunge na kabla ama mtang'olewa kama wakina marsha wa ccm na kupoteza maana nzima ya upinzani.