Wadau kuna habari kubwa ukurasa wa mbele wa gazeti la Jambo Leo la leo kwamba maandamano ya kesho ya mikoa kumi yaliyoandaliwa na chama kikuu cha upinzani chadema yamefutwa na hayapo.Ninaomba wakuu wa chadema mliopo JF mtujuze mapema kwani kuna watu wanasafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa ajili ya kushiriki maandamano haya ya kihistoria.
Endapo kama ni kweli yamefutwa isipotolewa taarifa mapema wananchi wataanza kupoteza matumaini na chama hiki kikuu cha upinzani.Kwani kila kona ya nchi gumzo mpaka asubuhi hii ni maandamano ya kesho...
Endapo kama ni kweli yamefutwa isipotolewa taarifa mapema wananchi wataanza kupoteza matumaini na chama hiki kikuu cha upinzani.Kwani kila kona ya nchi gumzo mpaka asubuhi hii ni maandamano ya kesho...