Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Wa JF kuna post moja nilisoma humu JF ikisema kuna leo jumamosi kuna mkutano wa chadema kimara bonyokwa.
Pls mwenye taarifa anijuze kama kuna mabadiliko yoyote kwani nimejiaanda vema kusikia hotuba za viongozi wangu wakuu kama Heche, Mnyika Tundu Lisu na Mdee,mwenye uhakika na taarifa zozote atujuze
Pls mwenye taarifa anijuze kama kuna mabadiliko yoyote kwani nimejiaanda vema kusikia hotuba za viongozi wangu wakuu kama Heche, Mnyika Tundu Lisu na Mdee,mwenye uhakika na taarifa zozote atujuze