mimi ni mpenzi wa chadema laikini kuna pahala wanafikia watu huwadhania ni uchagga,nadhani viongozi wake ni wasikivu wataliangalia hili kwani wanachama ni wengi na wenye uwezo kushika hizo nyidifa,Komu namfahamu enzi za chuo,mstari wake ni kina Bazigiza,mbatia,cyril chami,matare matiku,kimaro na wengine wengi Komu ana upambanaji wake siyo kwenye vitu kama hivyo,mpeni Komu position inayomfaa huyo ni pmanaji tunamjua