Chadema kwa vigezo hivi wanapata wapi tumaini la kuongoza nchi hii??

sasa wewe ulikua unataka bei ya 1995 ya sukari ifanane na ya 2012??
Maisha hubadilika ndugu
kupanda na kushuka kwa thamani ya sarafu hakukuaanza zama hizi tuh
usikariri...

So, unaona ni sawa kabisa hiyo bei kuwa namna hiyo?
Huko kupanda na kushuka kwa thamani ni Tanzania tu?!
Hebu fanya utafiti Nchi za jirani(Afrika Mashariki na Kati) uone ongezeko la bidhaa mfano sukari ilikuwaje/ikoje kwa sasakayika nchi zao.
 
sasa wewe ulikua unataka bei ya 1995 ya sukari ifanane na ya 2012??
Maisha hubadilika ndugu
kupanda na kushuka kwa thamani ya sarafu hakukuaanza zama hizi tuh
usikariri...

nakubali maisha yanatakiwa kubadilika lakini sio kii hivyoo umasikini unaongezeka kwa kasi na elimu inashuka leo hii wasiojuwa kusoma nakuandika wameongezeka kuliko 1995 nini hicho tulikuwa na sarafu moja kenya na thamani sawa leo hii ni tofauti nini hichooooooo
namuangalia fatou bensouda live citizen tv yupo kenya nafikiri karibu atakuja tz
 
nakubali maisha yanatakiwa kubadilika lakini sio kii hivyoo umasikini unaongezeka kwa kasi na elimu inashuka leo hii wasiojuwa kusoma nakuandika wameongezeka kuliko 1995 nini hicho tulikuwa na sarafu moja kenya na thamani sawa leo hii ni tofauti nini hichooooooo
namuangalia fatou bensouda live citizen tv yupo kenya nafikiri karibu atakuja tz

but don forget that tommorrow belonging to those people who prepared for it
 
When i am tellin them the truth
they say i am ridiculous...
Sijui tuisaidieje nchi hii,,pro-chadema tujifunze kufikiri nje ya box muda mwingne..

Mmmh kama kufikiri nje ya box ndo uko unavyofikiri wewe basi BOX LA KICHINA hilo....wasalimie SHYROSE na SOFIA.
 
Ladies & getlemen,,
friends & enemies,,

ifike wakati sasa tuweze kuthubutu kuiambia ukweli chadema kua kuendelea kutegemea mapungufu ya mafisadi kama mtaji kwao kisiasa na fursa ya wao kukimbilia kwa watanzania kuomba ridhaa ya kuongoza nchi hii ni kujidanganya na kuendesha harakati za msimu,
pamoja kuendesha harakati zinaofanana na uvumo wa upepo
nani hapa leo yuko radhi kuwaona chadema wakiwa madarakani na sera yao ya kuigawa nchi hii kiukanda na majimbo,hatuoni kua hii ndio itakua ni muendelezo wa zile siasa za ukanda tunazozipigia kelele kila siku??
Ifike wakati sasa kwa wao kua busy kutengeneza sera zenye uhalisia na maisha ya watanzania kuliko kutumia umaskini na kukata tamaa kwa watananzania walio wengi hasa hasa vijana kama petroli katika harakati zao mfu,,
wakiendelea kwa hulka za siasa za aina hii watakua kila siku wanaishia kuibua slogan mara operation sangara mara m4c n.k,,
kuigawa nchi hii ktk majimbo ni kitu cha kusadikika kama ndoto za abunuasi,,

Ninaposoma magazeti,maandiko kwenye mitandao na mada za JF kwenye baadhi ya mawazo ya waleta uzi najifunza kwamba wengi wetu bado tunadhani vyama vyote vya upinzani vipo kwa huruma ya CCM laiti tungejuea kwamba vyama vyote vinasimikwa na wananchi nadhani dharau juu ya uwezo wa wananchi wakumuweka nani zingepngua .Kwa nini nimesema hivyo ni kwamba
Mpaka chadema iwe na wafuasi au wananchama ni kwamba wamesoma sera zao au wamesikia sera zao na ndio maana wanawaunga mkono
Kwamba chadema kama chama hakiwezi kujitungia sera bali sera itatokana na maono ya wananchi (Kumbuka namna sera inavyoibuliwa mara nyingi inatokana na wazo la mtu watu jamii taifa ) na si mtu au chama fulani

Kwamba utekelezaji wa sera zozote unategemeana na uongozi ulio thabiti usio na ghiriba na usimamizi madhubuti na kazi hiyo inaonyeshwa kwa kiwango cha ngazi ambazo chadema inazisimamia kwa sasas
Kwa hiyo kamwe musitake kutulisha u.p.u.pu. kama sisi wananchi ni matahira kwamba chadema washindwa kutusomesha tukajua sera zao eti ukatupa propaganda kwamba hawana walilo nalo bali wanangoja udhaifu wa CCm,hilo ni moja wapo lakini mipango mingine ipo na kuna taasisi mbalimbali za kijamii zinazoshirikiana na chama kuibua na kuboresha sera mpya na badhii ya sera zilizopo kuziboresha pia
uongozi wowote unaojiandaa kuchukua madaraka unatumia njia za kutumia kilichopo na kukiendeleza,kukiboresha au kukifuta na kuanzisha kipya kutegemeana na tija hitajika
 
Ladies & getlemen,,
friends & enemies,,

ifike wakati sasa tuweze kuthubutu kuiambia ukweli chadema kua kuendelea kutegemea mapungufu ya mafisadi kama mtaji kwao kisiasa na fursa ya wao kukimbilia kwa watanzania kuomba ridhaa ya kuongoza nchi hii ni kujidanganya na kuendesha harakati za msimu,
pamoja kuendesha harakati zinaofanana na uvumo wa upepo
nani hapa leo yuko radhi kuwaona chadema wakiwa madarakani na sera yao ya kuigawa nchi hii kiukanda na majimbo,hatuoni kua hii ndio itakua ni muendelezo wa zile siasa za ukanda tunazozipigia kelele kila siku??
Ifike wakati sasa kwa wao kua busy kutengeneza sera zenye uhalisia na maisha ya watanzania kuliko kutumia umaskini na kukata tamaa kwa watananzania walio wengi hasa hasa vijana kama petroli katika harakati zao mfu,,
wakiendelea kwa hulka za siasa za aina hii watakua kila siku wanaishia kuibua slogan mara operation sangara mara m4c n.k,,
kuigawa nchi hii ktk majimbo ni kitu cha kusadikika kama ndoto za abunuasi,,

Kama sera hazieleweki kwa nini CDM ilipata wabunge wengi katika uchaguzi uliopita? Huna hoja ya mashike. Kalale
 
Ukiwa unajibu hoja huku ukiwa na jazba huwezi kujibu kwa nguvu ya Hoja badala yake utajibu kwa Hoja ya nguvu. Ukweli ni kwamba kwa hapa tulipofika Tanzania tunahitaji mabadiliko makubwa sana ya kimfumo, si kubadilisha chama cha siasa pekee. Hivyo kwa watu makini ambao wana uchungu na Watanzania kuendelea kukandamizwana wanataka kuchukua dola watakuwa tayari kupokea maoni ya watu mbalimbali na kuyafanyia kazi. Yale yenye manufaa yachukuliwe na kufanyiwa kazi. Tukubali kukosolewa pale inapobidi.
 
kama sera hazieleweki kwa nini cdm ilipata wabunge wengi katika uchaguzi uliopita? Huna hoja ya mashike. Kalale


ni kweli ilipata wabunge wengi msimu uliopita,,
jiulize sasa wabunge hao iliwapata wapi na kanda ipi??
Na mafisadi walipata wabunge wengi wapi na kanda ipi??

Kam uchagni ni kweli walivuna wabunge,,thats y nakuambia hii hoja ya serikali ya majimbi ni mfu na wanstahili kuiondoa
hili pia linahitaji mtu kumaliza fom four kuweza kulitambua??
 
ukiwa unajibu hoja huku ukiwa na jazba huwezi kujibu kwa nguvu ya hoja badala yake utajibu kwa hoja ya nguvu. Ukweli ni kwamba kwa hapa tulipofika tanzania tunahitaji mabadiliko makubwa sana ya kimfumo, si kubadilisha chama cha siasa pekee. Hivyo kwa watu makini ambao wana uchungu na watanzania kuendelea kukandamizwana wanataka kuchukua dola watakuwa tayari kupokea maoni ya watu mbalimbali na kuyafanyia kazi. Yale yenye manufaa yachukuliwe na kufanyiwa kazi. Tukubali kukosolewa pale inapobidi.

thank u great thinker...!!
 
CDM kitapata ridhaa ya kuongoza nchi hii .bora majimbo kuliko ufisadi mnaofanya mchana kweupe.
 
ni kweli ilipata wabunge wengi msimu uliopita,,
jiulize sasa wabunge hao iliwapata wapi na kanda ipi??
Na mafisadi walipata wabunge wengi wapi na kanda ipi??

Kam uchagni ni kweli walivuna wabunge,,thats y nakuambia hii hoja ya serikali ya majimbi ni mfu na wanstahili kuiondoa
hili pia linahitaji mtu kumaliza fom four kuweza kulitambua??
Usitupotezee muda kama hujui wabunge walipatikana kanda ipi na ipi basi wewe ni kipofu kinachokushinda nini kwamba kanda zote pwani,kati,magharibi, Mashariki,kusini na kaskazini hii ndio kazi ya maamuzi ya wananchi nchi nzima kila upande usisahau sio wabunge tuu na madiwani nao
haja yako unataka kuspin ukweli mwenzentu umeshakua kidudu mtu nini
 
Join Date : 21st October 2012
Posts : 37
Rep Power : 308
Likes Received5
Likes Given8

UMETUMWA NA NANI?
 
uchama utawaumiza sana watanzanìa.kwani unadhani hiyo chadema yako ikishika uongozi nchi itabadilika au maisha yatabadilika?NEVER EVER.wana siasa wasitudanganye jamani kila mtu anataka kula! viongozi watakao badilisha matumaini ya nchi hii c, CDM nor CCM ila ni yule mwenye hofu ya MUNGU.enough.
 
usitupotezee muda kama hujui wabunge walipatikana kanda ipi na ipi basi wewe ni kipofu kinachokushinda nini kwamba kanda zote pwani,kati,magharibi, mashariki,kusini na kaskazini hii ndio kazi ya maamuzi ya wananchi nchi nzima kila upande usisahau sio wabunge tuu na madiwani nao
haja yako unataka kuspin ukweli mwenzentu umeshakua kidudu mtu nini


eeh sawa
mwenzangu kumbe ushachukia katika kuelimishana ukweli wa kuiokomboa tanzania yetu??
Hebu niambie kanda ya huku lindi na mtwara na kusini kwa ujumla ni mbunge yupi anaetokea chadema??
Je ni kweli kua m4c haitakiwi huku??
Umeshawahi kujiuliza tatzo ni nin??
Jazba sio kipimo cha busara...
 
uchama utawaumiza sana watanzanìa.kwani unadhani hiyo chadema yako ikishika uongozi nchi itabadilika au maisha yatabadilika?never ever.wana siasa wasitudanganye jamani kila mtu anataka kula! Viongozi watakao badilisha matumaini ya nchi hii c, cdm nor ccm ila ni yule mwenye hofu ya mungu.enough.


tell them
tunapotaka kujenga kile tunachoona kinafaa wao wanafikiria kua tunakitakia mabaya chadema
kweli penzi ni kitovu cha uzembe,kwaiyo hamtaki kabisa chadema kukosolewa??
 
Tuwe makini sana na siasa zetu. Wafanya siasa wengi ni hodari sana kwa kukosoa. Lakini wakipewa madaraka wanakuwa wabaya mno
 
Back
Top Bottom