tutaweza
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 634
- 457
Isije ikawa ushindi wa majimbo mawili (Sumbawanga na Singida) mmepewa ili mkianza kulalamika muambiwe mbona na kule mmeshinda!?
Wenzenu wakawa wanashinda kwenye majimbo wanayotaka wabunge wake wasionekane kule mjengoni kutokana na kuisumbua serikali!
Tusubirini hukumu ya mnyika!
Unaweza kuchangia na wewe unahisi ni nini kinaendelea nyuma ya pazia.
HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI, SIO TETESI.
Wenzenu wakawa wanashinda kwenye majimbo wanayotaka wabunge wake wasionekane kule mjengoni kutokana na kuisumbua serikali!
Tusubirini hukumu ya mnyika!
Unaweza kuchangia na wewe unahisi ni nini kinaendelea nyuma ya pazia.
HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI, SIO TETESI.