Thread hii naiona ni mpango mkakati wa TISS kuipasua Chadema. Kumbukeni kauli ya Wasira kuwa Chadema itaparaganyika kabla ya 2015. Uzi umekaa kimtego saaana,someni kati kati ya mistari. Mimi sijainunua lakini siachi kwani naiona sumu iliyomwagwa itaingia mpaka kwenye uboho na itakuwa ngumu kuiondoa. Du TISS ni janga la nchi hii badala ya kuwa usalama wake.
Hivi jamani laana inachukuaga mda gani mpaka ianze kazi? Maana mhh
Hili nalo neno...
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
nenda tena hapo kwenye ka kijiwe kisha uwaulize hao wanywaji wenzao juu ya mahali walipo wale vijana waliomkamata maige mwaka jana pale kibo palace akipokea pesa toka kwa wale jamaa wa vitalu akabanwa na kuulizwa na nani amemtuma kisha akutoboa na kueleza siri nzito juu ya biashara za mkuu wa nchi....wakikujibu waulize tena juu ya watu sita waliopelekwa bulgaria..wamekwenda kufanya nini na kwa nini kinaitwa kikosi maalumu kwa ajili ya kuidhibiti chadema kabla ya 2015?
Kwenye hii habari nimenusa ukweli fulani kwani kuna jamaa yangu wa system amenieleza vitu ambavyo havipishani na hiki kilichoandikwa. Stay tuned.
Sasa unamwambia nani wewe mdini?
Post yote ya jamaa kuibandika hapa haijamchukua hata dakika tatu ,kisha anaishia kusema anasafiri WAPI?ukweli ni kwamba hayuko creative anaishiwa mistari ya kutunga ndani ya dakika tatu.huyu anafaa kutuma story zake kwenye magazeti ya lawalawa.
Kama ni kweli yuko jikoni hawezi kuwa mjinga kiasi cha kujilipua kwamba anasafiri kwani watamtrack down kwa kuwachunguza wanausalama wa karibu na mkuru wanaosafiri today.
Hata kama ni kweli anayosema mbona kaweka dibaji ama utangulizi badala ya kuweka details angeweza kabisa kutenga hata nusu saa ili kuweka mambo wazi.
Kama hio haitoshi anaingia na ID nyingine kwenye thread yake ili kukazia hoja..HIVI BULGARIA UNAPELEKA MTU KU?OMEA NINI,bora hata ungesema moscow,ama havana,au soza africa ambazo ccm wako na mahusiano.
ONLY A FOOL CAN BUY THIS BULLSH#T.