Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 631
nenda tena hapo kwenye ka kijiwe kisha uwaulize hao wanywaji wenzao juu ya mahali walipo wale vijana waliomkamata maige mwaka jana pale kibo palace akipokea pesa toka kwa wale jamaa wa vitalu akabanwa na kuulizwa na nani amemtuma kisha akutoboa na kueleza siri nzito juu ya biashara za mkuu wa nchi....wakikujibu waulize tena juu ya watu sita waliopelekwa bulgaria..wamekwenda kufanya nini na kwa nini kinaitwa kikosi maalumu kwa ajili ya kuidhibiti chadema kabla ya 2015??
wakiwa na majibu hayo basi nami ntakuja nijiunge
Unajifaragua tu, kama unajua chochote weka hapa. Tena nahisi we ndio Hutaki Unaacha unaetaka kuilewesha CDM kwa sifa za kijinga ili wajisahau!
Hakuna mkakati hapo. Bilal abadilishe mambo?, upuuzi mtupu.