baadhi ya mipango uliyoongelea ni kweli
Haya twende kazi...
Hii ni dalili tosha kuwa Kikwete keshauza nchi yetu kwa Wamarekani. Unaweza kuimagine wakati wa Mzanaki analetewa ripoti ya CIA kutoka state department ya Marekani?Kwa ufupi sana, ripoti iliyomfikia JK kutoka state department ilimnyong'onyeza JK pale ilipobainika wazi kuwa hakuna mwanaCCM ambaye atamshinda EL 2015.