Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Kwa hap bwana mzee umekata issue si kidogo ila kwenye hoja yako ya msingi ni kwamba HAUAMINIKI hata chembe.
Maana yake ni kwamba kimsingi haujatusawishi hata kwa kuweka VIAMINISHIO viwili vitatu hapa tukavipime. Na kwetu hapa JF approach kama hii kwanza ushukuru MOD wa zamu hajaipeleka hii thread kwenye friji kule ndani ndani chumba cha TEKNOLOJIA kuleee au kulipiga panga kabisa.
Angalia lisije likatokea hivo hivo ukadhania kwamba umechongewa bali ni kwamba nazungumzi uzoefu. Na mtu wa siku nyingi kama JASUSI hapo juu tukishaona katoa komenti gani kwa hoja hapo ndipo unakuta sie wengine wala htujisumbui hata kufuatilia thread yako tena!!!!!!!
Hebu tuaminishe zaidi vyanzo vyako yaelekea waifahamu zaidi CCM.
Maana yake ni kwamba kimsingi haujatusawishi hata kwa kuweka VIAMINISHIO viwili vitatu hapa tukavipime. Na kwetu hapa JF approach kama hii kwanza ushukuru MOD wa zamu hajaipeleka hii thread kwenye friji kule ndani ndani chumba cha TEKNOLOJIA kuleee au kulipiga panga kabisa.
Angalia lisije likatokea hivo hivo ukadhania kwamba umechongewa bali ni kwamba nazungumzi uzoefu. Na mtu wa siku nyingi kama JASUSI hapo juu tukishaona katoa komenti gani kwa hoja hapo ndipo unakuta sie wengine wala htujisumbui hata kufuatilia thread yako tena!!!!!!!
Hebu tuaminishe zaidi vyanzo vyako yaelekea waifahamu zaidi CCM.
ndugu yangu mimi sijatumwa na kama unavyosema kwamba watu waangalie tarehe niliyojiunga na jamii forum nchii haitofika popote na hakuna sababu ya kuiondoa CCM madarkani kwani ccm kimeanzishwa 1977 na chadema ni chama cha 1992 kwahiyo kama wewe unataka kuangalia kuwa tarehe gani nilijiunga basi tuangalie na lini chadema ilianzishwa. na itakuwa hakuna sababu ya kupigania nafasi za uongozi wapewe vijana haliyakuwa kuna wazee ambao wako miaka mingi na wanajua mambo memngi kuliko sisi kutokana fikra zako potufu ndugu yangu. ndugu yangu tunaishi ktk science na technologia acha kasumba za kizamani kuwa umetangulia kuona jua. mimi naijua jamii forum tangu kuanzishwa kwake na nimejiunga mwaka huu baada ya kuridhishwa na kazi inayofanywa na jamii forum ktk kuwaelimisha watz. so usiwe mtu wa kudharau watu kwa sababu umetangulia kuona au kujua jambo fulani. na kama tukitumia hiyo falsafa yako mbovu basi mhe MBOWE ASINGEMCHAGUA PROFESSOR SAFARI KUWA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CHADEMA HALIYAKUWA KUNA WANACHAMA WENGI WA ZAMANI.