CHADEMA kuwa na wabunge chini ya ishirini(20) ifikapo Jan 2016 - UTABIRI!

Naweza kukubaliana nawe kwa sababu nna uhakika wa chadema kuanza kusambaratika mara tu baada ya kumaliza ziara zao za mikoani.

Natabiri; mwanzo wa kusambaratika chadema ni baada ya kikao cha bunge kijacho. Tutaona chadema wataanza kulumbana wenyewe kwenye kikao kijacho cha bunge na vuguvugu litaendelea hadi kukisambaratisha chama. Chokochoko baada ya vikao vya bunge zitaanza kuikumba chadema kupitia makundi ya safari na lingine mbowe na lingine slaa. Kila kundi litataka liwe na kauli zaidi ya lingine. Kwa upande mwingine, zitto hatakubali awachwe mkiani, mdee atanunuliwa kwa pesa ndogo tu, lema halikadhalika na lisu tayari kisha wekwa mfukoni. Duhh. Huu ni utabiri tu, inawezekana iwe au isiwe.

KWELI JINA LAKO LINAKUFAA foxy!!!
Tangu iandikwe mene mene na tekele kwa ccm ulikuwa wapi?
Hizi ndoto zimetokana na mnajimu Sheikh Yahya Hussein!!!
Endeleeni tu kusanyeni Sheikh yahya, maji marefu na waratibu wa mlingotini KWELI KUWEWESEKA KUBAYA MMEBAKIA NA RAMLI TUU!
 
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!
Mbona kutaka mwenye akili(mawazo) tofauti na wewe tu akaribie....!!!!!! haujiamini na ulichokiandika inaonekana.
 
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!

Huu ni upumbavu wa fikra, upofu wa mawazo, ujinga wa akili na uvivu wa kufikiri. Kama hujui kuwa ccm ipo mahututi na haina dawa basi labda haupo Tz au ni kiburi tu! Wanahangaika akina Nape na Chiligati lakini hakiponyeki. Labda ungesema kuwa ccm itabaki na majimbo 20 angalau ningekuelewa!
 
Tunazungumzia kuwa na kura ya maoni, kupima utekelezaji wa ilani "yenu" na ulinganisho wa hali za WATU kiuchumi na ustawi wa nchi katika siasa za ndani na kimataifa (afrika mashariki).
Ningekushauri utabiri kama hapo mtaruka badala ya kwenda huko 2016.
Hii mambo ni nzito sana kwa JK zaidi ya ushabiki mnaouleta hapa jamvini.
 
HOJA YA NYAMI201O NI HII

Nionavyo mimi, kama CHADEMA wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA! Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CCM kwa sababu ambazo CHADEMA wanajutia na wataendelea KUZIFANYIAKAZI.
CHADEMA wakiendelea kuwa serious na wakaendelea kukomaa na wakakomesha uchakachuaji wa CCM ndani ya TAIFA, hakika CHADEMA ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe
.Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CCM ifikapo Jan 2016.

KAJICHANGANYA TU
 
Vijana mnaowategemea kama niwa dzain ya akina nape basi unaota,au kunamtu nyuma yako anakupiga mateke upost thread kama hizi.
 
Hoja karibia zote nzuri sana, japo ninasikitishwa na mitusi na mineno mazito mizito juu ya utabiri wangu.

Kama kweli hii mineno mizito na mitusi mikali inatoka miongoni mwa vijana na watu wazima wa-Tanzania na pengine wenye elimu ya kati/juu na kwa vyovyote wenye ushabiki katika CHAMA fulani, basi hakika hatuna kizazi, taifa na hicho CHAMA chenu ni mfu anaetembea. Ya nini mitusi na mineno hii?

Turudi kwenye hoja: Kumbukeni zile kambi kuu mbili ndani ya CDM wakati wa uteuzi wa wabunge wa viti maalum. Kwani zimeisha????

Habari za ndani ya CDM zinatanabainisha juu ya mpango dhidi ya kuwamaliza kisiasa baadhi ya watu ambao ni makini ili waingie "wao". Kama habari ni za kweli, subirini mtajionea wenyewe............Aidha kimya cha watu hodari, wazoefu na makini kama Mh. Prof. Kahigi (Bukombe), Mh. Machemli(Ukerewe), Dr. Mbassa(B'mulo Mghrb), Mh. Shibuda(Maswa Mghrb), Mh. Mch, Natse (Karatu) na Prof. Baregu ni miongoni kile kinachoendelea ndani ya CDM. Yetu macho na masikio............
 
nenda kanywe dawa kwa babu kwanza ndo urudi tena hapa JF halafu ufanye editing ya thread yako. utakuwa umechanganyikiwa, watu wanazungumzia kwenda mbele wewe unazungumzia kurudi nyuma! halafu ndugu yangu elewa kwamba ishu hapa sio CDM ishu ni watu kujitambua wako wap, wanafanya nn, wanafnyiwa na nan, haki zao wanapewa? wewe umetokea wap wewe. kabla ya kuadika kitu hapa think twice men!
 
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!

nikweli hili linawezekana lakini endapo CDM watapoteza mwelekeo wao. Lakini waki maintain au ku increase kidogo tu basi hata urais ccm watakosa.
 
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!

Ninakupa changamoto: Waambie CCM warudishe matembezi ya mshikamano halafu watuambie wamekusanya shilingi ngapi toka kwa watu wa kawaida (hao unaowajumuisha kwenye mtandao na wenye hoja/mvuto).
 
Naweza kukubaliana nawe kwa sababu nna uhakika wa chadema kuanza kusambaratika mara tu baada ya kumaliza ziara zao za mikoani.

Natabiri; mwanzo wa kusambaratika chadema ni baada ya kikao cha bunge kijacho. Tutaona chadema wataanza kulumbana wenyewe kwenye kikao kijacho cha bunge na vuguvugu litaendelea hadi kukisambaratisha chama. Chokochoko baada ya vikao vya bunge zitaanza kuikumba chadema kupitia makundi ya safari na lingine mbowe na lingine slaa. Kila kundi litataka liwe na kauli zaidi ya lingine. Kwa upande mwingine, zitto hatakubali awachwe mkiani, mdee atanunuliwa kwa pesa ndogo tu, lema halikadhalika na lisu tayari kisha wekwa mfukoni. Duhh. Huu ni utabiri tu, inawezekana iwe au isiwe.

mkuu si zaidi ya miezi 2 toka leo. Naset alarm isipotokea ntajua ulikuwa na maono toka kwa shetani na ivo ntakuandika kwenye website ya sheikh yahaya mwabudu mashetani.
 
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!

mkuu umeomba watu wenye mtazamo/fikra tofauti wakaribie. Ila kwa uzezeta wa viwavi,vichwa vya panzi wenye mtazamo usio tofauti wamekaribia na kukusupport. Ujue ndo vilaza wengi wanavyoshindwa hata timed test kama uliyotoa. Tatizo ili lipo kwa watu wengi waliokuja jamvini kwa kusombwa na malori ya vyama na tshirt ya bure! Hawajui wanalolifanya ila ukurupuka na kujibu hata bila kujua ulitaka nini au umeitimishaje! Ndo hao hao wanaosaini mikataba angamizi. Narudi kwako,umeomba wenye fikra tofauti kwa kuwa unaelewa wazi kuwa ulichoandika hakiaminiki,hakipo,hakiwezekani ndo ukaelewa wazi kuwa lazima wenye kuona ukweli watakuwepo. Sijajibu hoja,ila nimeleta mtazamo wa mada yako. Ukae salama ndungu.
 
Hoja karibia zote nzuri sana, japo ninasikitishwa na mitusi na mineno mazito mizito juu ya utabiri wangu.

Kama kweli hii mineno mizito na mitusi mikali inatoka miongoni mwa vijana na watu wazima wa-Tanzania na pengine wenye elimu ya kati/juu na kwa vyovyote wenye ushabiki katika CHAMA fulani, basi hakika hatuna kizazi, taifa na hicho CHAMA chenu ni mfu anaetembea. Ya nini mitusi na mineno hii?

Turudi kwenye hoja: Kumbukeni zile kambi kuu mbili ndani ya CDM wakati wa uteuzi wa wabunge wa viti maalum. Kwani zimeisha????

Habari za ndani ya CDM zinatanabainisha juu ya mpango dhidi ya kuwamaliza kisiasa baadhi ya watu ambao ni makini ili waingie "wao". Kama habari ni za kweli, subirini mtajionea wenyewe............Aidha kimya cha watu hodari, wazoefu na makini kama Mh. Prof. Kahigi (Bukombe), Mh. Machemli(Ukerewe), Dr. Mbassa(B'mulo Mghrb), Mh. Shibuda(Maswa Mghrb), Mh. Mch, Natse (Karatu) na Prof. Baregu ni miongoni kile kinachoendelea ndani ya CDM. Yetu macho na masikio............

mkuu cdm ni chama makini kinachoendeshwa kwa misingi ya utawala bora. Katika hali ya kushangaza ulitaka kila mbunge cdm awe mpayukaji,hapana,iyo iko kwenu,huku kuna utaratibu. Pia ukichunguza vizuri,wabunge wa cdm si wasemaji wakuu wa chama,usitegemee eti prof.kaigi ataanza kunena kwa kuwa yuko cdm,hapana. Akiwa na hoja ataileta,akiona ipelekwe kwenye uongozi wa juu ili isemwe na cdm taifa ataiwasilisha na hapo ndo demokrasia ndani ya chama inakuwa tamu. Mkuu achana na wapayukaji kwenye chama chako,huku cdm kuna utaratibu,pia ni team work! Usitegemee kusikia kama yale ya mwakyembe,sita,luhanjo,mukama,nape,chiligati wanaochezea timu moja ila uwanjani kila mtu ana mpira wake,refa akipinga filimbi,kila mtu asiyeridhika anatia mpira wake kwapani. Ikumbukwe mechi ya marudiano " DOWANS" ambako kila mtu tajwa hapo juu aliwahi uwanjani na mpira wake. Hapo ndo refa/hapa ni dr SLAA aliposhtuka na kujua kuwa timu aliyotaka inyukani ilikuwa na uendawazimu,na nakumbuka alimtaarifu kocha wa timu iyo/timu tetezi kuwa au tatizo analo kocha/hapa ni jk au timu yake,au muundo wa mchezo. Badala ya ile tuliyozoe walau 4:4:2 n.k wenyewe wana 1:1:1:..:1 timu nzima. Mpaka ata defenda anakuwa striker,ajabu ya watawala!
 
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!

jan.2016? Apo unafikiria siasa za majimbo ya cdm. Baada ya cdm kuwa chama tawala apo 2015 imetuhaidi kuwa itaunda majimbo manane,na apo muundo wa utawala utabadilika ila si kweli kuwa wabunge watafutwa mpaka chini ya 20. Hapo nadhani ufikirie ma Dc na Rc ndo watapungua chini ya 20 sababu ya majimbo 8. Nimejaribu kukueleza una tatizo lingine mkuu?dukuduku? Ok. Naona hauna. siku njema.
 
Nionavyo mimi, kama CCM wakijipanga sawasawa bado ni Chama chenye nguvu, vijana wenye mvuto, hoja na mtandao mkubwa hapa nchini. Hakika ni chama cha KITAIFA!

Hakuna asiyejua kuwa baadhi ya Majimbo yalianguka mikononi mwa CDM kwa sababu ambazo CCM wanajutia na wataendelea kujutia. CCM wakiwa serious na wakaamua kukomaa na wakaacha uchakachuaji wa wao kwa wao ndani ya chama chao, hakika CCM bado ni Chama cha wengi na hakina mwenyewe.

Nisemalo haliko mbali sana, tumuombe Mungu tuwe hai na JF yetu iwe hai, kisha tuhesabu wabunge wa Majimbo wa CDM ifikapo Jan 2016.

Mwenye maoni au mtazamo tofauti.........karibu!
Tatizo ni kutumia makamasi sehemu unayotakiwa kutumia ubongo.
 
Ndoto za Mchana. Najua wewe ni kada wa CCM, bahati mbaya weredi wako ni mdogo na huijui vizuri CHADEMA. Wabunge uliowataja hawakuingia bungeni kuganga njaa kama nyie CCM , ni wasomi, wanauwezo wa mali. Wameingia bungeni kutetea haki za wananchi wao.
 
Back
Top Bottom