The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Modern morality and manners suppress all natural instincts, keep people ignorant of the facts of nature and make them fighting drunk on bogey tales.
Hizo kura ni za siri au ni zile za kumhoji mbunge mmoja mmoja? Maana uchaguzi wa spika ni CCM versu UPINZANI; hakuna jinsi upinzani unavyoweza kushinda
Kura ni za siri,
Kama ulikuwa msomaji mzuri wa magazeti utakumbuka kwamba Zitto Kabwe na Marehemu Amina Chifupa walijigundua wote ni majasiri siku walipopewa fursa ya kuhesabu kura.
Ni kuanzia hapo waliomo bungeni walipoanza kufuatilia kama kuna uhusiano wowote kati yao.
Marando anaweza kuwekewa Pingamizi:
Marando anaweza akapata pingamizi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kigezo cha kisheria kuwa mgombea uspika asiye mbunge anapaswa kuwasilisha maombi yake kwa Tume ya Uchaguzi siku mbili kabla ya bunge kufanya mkutano wake wa kwanza, na Tume ndiyo inayotakiwa kuwasilisha jina hilo kwa bungeni. sasa km upinzani ulikaa na kuteua jina lake siku moja kabla...sijui!!! lakini chochote kinaweza kutokea.
huyu mama ana kiburi kuliko wanawake wote, ccm wanataka kuharibu bunge; wanafikiri watawakaanga wapinzani kwa kumuweka yule mama kumbe wanajipiga kiberiti wao wenyewe. pona yao ilikuwa kumweka sitta, kwa kumweka huyo makinda, wanajilipua. mmama mwenye kiburi, na asiye na mume, si unajua hao wanawake wasio na mume walivyo wachungu na wababe kwa wanaume, kwasababu hawajui uchungu na uthamani wa kuwa na mwanaume...so wanafikiri sote tuko sawa ati...nakuambia atawanyamba wabunge wanaume mle bungeni hadi watakoma, ataleta gender inferiority yake pale na ataharibu kabisa bunge. kwanza atuambie kwanini anaishi bila kuolewa...anaishije.
Modern morality and manners suppress all natural instincts, keep people ignorant of the facts of nature and make them fighting drunk on bogey tales.
Kwa heshima ambayo Dr. Slaa imejijengea katika taifa letu na hata kwa wabunge wa Chadema na CCM kuna uwezekanno mkubwa kuwa Chadema watatoa spika wa bunge mwaka huu.
Dr. Slaa anao mtandao mpana ndani na nje ya chama chake. Pia kuna mtandao wa vijana ambao Zitto anao ndani na nje ya Chadema. Ni dhahiri kuwa uspika kutoka Chadema ni jambo la kutegemewa sana. Kama hii haitoshi, wabunge aina ya Mwakyembe, Sitta, Kilango Malecela na wapigaji wengine ndani ya CCM hawawezi kamwe kumpigia Anna Makinda kura ambaye ataendeshwa na wakubwa wa CCM wanaotetea ufisadi. Bado kuna wabunge wa Chadema waliokihama chama chao na kuingia CCM nao wanamtandao mpana ndani ya CCM. wote hawa wataleta kura za uspika kwa Chadema. Huu ni mwaka wa ushindi.
wabunge wa ccm wapige kura ya chuki
Kwa heshima ambayo Dr. Slaa imejijengea katika taifa letu na hata kwa wabunge wa Chadema na CCM kuna uwezekanno mkubwa kuwa Chadema watatoa spika wa bunge mwaka huu.
Dr. Slaa anao mtandao mpana ndani na nje ya chama chake. Pia kuna mtandao wa vijana ambao Zitto anao ndani na nje ya Chadema. Ni dhahiri kuwa uspika kutoka Chadema ni jambo la kutegemewa sana. Kama hii haitoshi, wabunge aina ya Mwakyembe, Sitta, Kilango Malecela na wapigaji wengine ndani ya CCM hawawezi kamwe kumpigia Anna Makinda kura ambaye ataendeshwa na wakubwa wa CCM wanaotetea ufisadi. Bado kuna wabunge wa Chadema waliokihama chama chao na kuingia CCM nao wanamtandao mpana ndani ya CCM. wote hawa wataleta kura za uspika kwa Chadema. Huu ni mwaka wa ushindi.
Kura ni za siri,
Kama ulikuwa msomaji mzuri wa magazeti utakumbuka kwamba Zitto Kabwe na Marehemu Amina Chifupa walijigundua wote ni majasiri siku walipopewa fursa ya kuhesabu kura.
Ni kuanzia hapo waliomo bungeni walipoanza kufuatilia kama kuna uhusiano wowote kati yao.
wabunge wa ccm wapige kura ya chuki