Bila shaka ataeleza. Kama kaweka wazi matumizi na source si ataeleza? Isitoshe sheria ndivyo yataka....Good. Source ya hizo fedha ni nini?
...Good. Source ya hizo fedha ni nini?
CCM ina bilioni 50 halafu CHADEMa ina bilioni 5 tu ambazo ni sawa na 10% ya pesa za CCM uchaguzi huu kweli ni wa haki?
Nimeipenda hiyo. Tatizo bado wananchi wenyewe hawajaweza kufikia hatua ya kufanya mabadiliko kwa sanduku la kura. No wonder watawala wanatamba majukwaani kwamba wao ni chama tawala na kitaendelea kushinda. Kwa mtaji wa Bil 5 kwa 50, opposition have a lot ot do. .
Ivi hizi 50 b ina sifuri ngap?
Kaazi kwelikweli. tukimaliza uchaguzi tuendelee na uchangishaji wa namna hii, yaani mabilioni kwa kila idara kama afya, elimu, miundo mbinu na nyonginezo, tunaweza kiukweli.
Ila kwenye siasa mmh!!!
jirani hujui bilion 50 ina sifuri ngapi?
kwa kila idara haiwezekani hivi jembe nikuulize umewahi kurudisha dawa ya meno kwenye tyubu yake??
Mkuu hujaijua kauli mbiu yake? mbona alishaitoa tayari! "UKITAKA KULA SHURTI ULIWE" Sikumbuki sawasawa aliitolea wapi ila wakuu humu ndani wapo wanaokumbukaSijui JK atakuja na kaulimbiu ipi this time, maana alikuja na ile ya MAISHA BORA KWA KILA MTZ, baada ya kuona hajawaletea maisha bora watz akabadili usemi, eti MAISHA BORA HAYAJI KWA KUKAA KIJIWENI!
Mkuu hujaijua kauli mbiu yake? mbona alishaitoa tayari! "UKITAKA KULA SHURTI ULIWE" Sikumbuki sawasawa aliitolea wapi ila wakuu humu ndani wapo wanaokumbuka