Wakuu,
Kuna taarifa kwamba baada ya Kikao cha Kamati Kuu kilichomalizika usiku jana, Viongozi wa CDM wanatarajiwa kutoa tamko zito saa 5 asubuhi ya leo wa Tz tukae mkao wa kula ili kujua kilichojiri kwenye kikao cha Kamati Kuu ya dharura iliyokutana jana.
Kuna taarifa kwamba baada ya Kikao cha Kamati Kuu kilichomalizika usiku jana, Viongozi wa CDM wanatarajiwa kutoa tamko zito saa 5 asubuhi ya leo wa Tz tukae mkao wa kula ili kujua kilichojiri kwenye kikao cha Kamati Kuu ya dharura iliyokutana jana.