Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo kinatarajiwa kuzindua kampeni za udiwani wa Kata ya Mawaza.Mgombea wa CDM ni ndugu Anthony Peter Mhola.
CDM ina nguvu kubwa hapa Shinyanga na haitarajiwi CCM kutoa upinzani wowote mkubwa.
Mkutano unatarajiwa kuanza saa 8 mchana huu.
CDM ina nguvu kubwa hapa Shinyanga na haitarajiwi CCM kutoa upinzani wowote mkubwa.
Mkutano unatarajiwa kuanza saa 8 mchana huu.