Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
MIMI NADHANI KWA TAARIFA YAKO HII TAYARI UMESHATUMIKA KUKIDHOOFISHA CHADEMA NA UPINZANI WOTE KWA UJUMLA.
mchawi hapa si hao uliowataja ni wewe mwenyewe! Na ni vizuri ukaweka source ili kujilinda wewe mwenyewe.
Zitto alishasema haamii CCM kwa namna yeyote ile, kama si hivyo weka source au vithibitisho mkuu!
Halafu upinzani si uaduni jamani, hata wasisalmiane duh!
mchawi hapa si hao uliowataja ni wewe mwenyewe! Na ni vizuri ukaweka source ili kujilinda wewe mwenyewe.
Zitto alishasema haamii CCM kwa namna yeyote ile, kama si hivyo weka source au vithibitisho mkuu!
Halafu upinzani si uaduni jamani, hata wasisalmiane duh!