kigugumizi
Member
- Sep 10, 2009
- 11
- 4
Ipo mikakati mingi sana inayofanywa na Serikali ya CCM, Usalama wa Taifa, pamoja na jeshi la ulinzi, ili kuweza kudhoofisha nguvu ya chadema Tanzania.
Huku CCM ikitumia mfumo wa Usalama wa Taifa kuweza kuwasaidia katika mambo mengi ya kiusalama; Sasa mipango hiyo imeweza kusukwa kwa kutumia mfumo wa kiutendaji wa Usalama wa Taifa:
Pili, Baada ya hao anayefatia ni kuondoa imani ya wananchi kwa chadema hasa kwa Dr. Wilbrod Slaa. Ajenda ya Ufisadi wa fedha za Yatima, Sadaka za kanisa la RC wakati akiwa ni mtumishi umeshakamilishwa pamoja na vielelezo vipo, wakati si mrefu Maaskofu kadhaa au watu senior watajitokeza kutoa kashfa hizo kwa Dr. Slaa pamoja na mfululizo wa Front page kwenye magazeti makubwa hapa Tanzania ili kuifanya kuwa leading story na debate kwenye vyombo vya habari Tanzania. Tayari wahariri kadhaa wameshataarifiwa.
Tatu, Wakati Zitto akiwa anahusishwa na uswahiba na JK, Rostam na watu senior Serikalini + CCM, itaoneshwa kuwa chadema ni CCM B kama vile ambavyo madai ya CUF yanavyosema. Vyama vingine vya upinzani kama TLP, NCCR-Mageuzi watajitokeza mstari wa mbele kutoa comments kuwa chadema ni CCM B. Lengo ni kuondoa imani kwa wananchi dhidi ya CHADEMA.
Nne, Usalama wa Taifa wakishirkiana na Mtanzania, Hoja na Majira walishindwa kuilabble chadema kama Chama cha Kikabila kwa matarijio yao makubwa sana.
Tano, Mpango wa kukihusisha na fedha za SMS Fundraising kama ufisadi wa Mbowe, umelenga zaidi kuondoa imani ya wananchi kukichangia fedha Chama hicho.
Pili, uswahiba wa JK na Zito ulianzia kwenye kamati ya madini. Katika marekebisho ya Wizara, Zito alipewa Uwaziri na JK, kabla ya JK kufanya marekebisho ya ghafla akiwa Dodoma baada ya kupata upinzani ndani ya CCM.
Tatu, Zito ameahidiwa Uwaziri wa Nishati na Madini kwenye awamu ijayo. Conditon ni kuingia CCM. Ili kuwa mzuri katika hiyo field, ameanza masomo yake nchini Ujerumani akichukua masuala ya sheria za mikataba ya madini kwa mwaka mmoja.
Nne, ameanza kuwa kunolewa katika siasa za kimataifa ili kuandaliwa vyema. Kukaa kwake Bungeni ni nadra sana, au kwenye shughuli za Chama chake. Lengo ni kupunguza uwajibikaji wake katika Bunge na Chama.
Tano, Sina hakika kama Zito yupo tayari kuhamia CCM kama Usalama unavyoamini, ila akicheza mpira vizuri atapewa Uwaziri wa Nishati na Madini akiwa bado chadema mwaka 2011 na JK.
Taarifa za ndani za chadema zinasema kuwa Mbowe amehitisha kikao kisicho rasmi Dodoma, wiki hii huku Zito ameondoka mapema kwenda nje ya nchi pasipo taarifa kwa viongozi waandamizi wa Chama hicho. Hali bado haijawa shwari ndani ya Chama hicho, athari za Uchaguzi bado zipo.
sasa tusubiri hali itakuwaje.
Huku CCM ikitumia mfumo wa Usalama wa Taifa kuweza kuwasaidia katika mambo mengi ya kiusalama; Sasa mipango hiyo imeweza kusukwa kwa kutumia mfumo wa kiutendaji wa Usalama wa Taifa:
- Ajenda ya kukichafua chadema.
Pili, Baada ya hao anayefatia ni kuondoa imani ya wananchi kwa chadema hasa kwa Dr. Wilbrod Slaa. Ajenda ya Ufisadi wa fedha za Yatima, Sadaka za kanisa la RC wakati akiwa ni mtumishi umeshakamilishwa pamoja na vielelezo vipo, wakati si mrefu Maaskofu kadhaa au watu senior watajitokeza kutoa kashfa hizo kwa Dr. Slaa pamoja na mfululizo wa Front page kwenye magazeti makubwa hapa Tanzania ili kuifanya kuwa leading story na debate kwenye vyombo vya habari Tanzania. Tayari wahariri kadhaa wameshataarifiwa.
Tatu, Wakati Zitto akiwa anahusishwa na uswahiba na JK, Rostam na watu senior Serikalini + CCM, itaoneshwa kuwa chadema ni CCM B kama vile ambavyo madai ya CUF yanavyosema. Vyama vingine vya upinzani kama TLP, NCCR-Mageuzi watajitokeza mstari wa mbele kutoa comments kuwa chadema ni CCM B. Lengo ni kuondoa imani kwa wananchi dhidi ya CHADEMA.
Nne, Usalama wa Taifa wakishirkiana na Mtanzania, Hoja na Majira walishindwa kuilabble chadema kama Chama cha Kikabila kwa matarijio yao makubwa sana.
Tano, Mpango wa kukihusisha na fedha za SMS Fundraising kama ufisadi wa Mbowe, umelenga zaidi kuondoa imani ya wananchi kukichangia fedha Chama hicho.
2. Zitto Kuhamia CCM.
Mosi, usalama wa Taifa, CCM wanaamini kuwa Zito atahamia CCM kabla ya Uchaguzi. Zito akiwa ahamini utendaji wa mbowe na Dr. Slaa anajua kuwa Chama kinaweza kufa wakati wowote.
Pili, uswahiba wa JK na Zito ulianzia kwenye kamati ya madini. Katika marekebisho ya Wizara, Zito alipewa Uwaziri na JK, kabla ya JK kufanya marekebisho ya ghafla akiwa Dodoma baada ya kupata upinzani ndani ya CCM.
Tatu, Zito ameahidiwa Uwaziri wa Nishati na Madini kwenye awamu ijayo. Conditon ni kuingia CCM. Ili kuwa mzuri katika hiyo field, ameanza masomo yake nchini Ujerumani akichukua masuala ya sheria za mikataba ya madini kwa mwaka mmoja.
Nne, ameanza kuwa kunolewa katika siasa za kimataifa ili kuandaliwa vyema. Kukaa kwake Bungeni ni nadra sana, au kwenye shughuli za Chama chake. Lengo ni kupunguza uwajibikaji wake katika Bunge na Chama.
Tano, Sina hakika kama Zito yupo tayari kuhamia CCM kama Usalama unavyoamini, ila akicheza mpira vizuri atapewa Uwaziri wa Nishati na Madini akiwa bado chadema mwaka 2011 na JK.
Taarifa za ndani za chadema zinasema kuwa Mbowe amehitisha kikao kisicho rasmi Dodoma, wiki hii huku Zito ameondoka mapema kwenda nje ya nchi pasipo taarifa kwa viongozi waandamizi wa Chama hicho. Hali bado haijawa shwari ndani ya Chama hicho, athari za Uchaguzi bado zipo.
sasa tusubiri hali itakuwaje.
- Nasubiri nyaraka feki dhidi ya Dr. Slaa ambazo ameandaliwa na Usalama wa Taifa, kisha zitakuwa kwenye JF hivi karibuni.