CHADEMA Kususa Mwenge na sherehe za miaka 50 ya UHURU ni KUKOSA UZALENDO

Waungana katika pitapita zangu nimegundua wana CDM hawafurahi TZ kusheherekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
Dalili zimejoinyesha;-

1. Viongozi wao katika ngazi zote kutoshiriki vikao vya maandalizi ya Mwenge wa Uhuru
2. Viongozi wao kushindwa kushiriki kuukimbiza mwenge ulipofika katika maeneo yao; mfano Ubungo (mhe.Mnyika) na Kawe (mhe. Mdee ).
3. Wabunge wao wameshindwa kushiriki katika vikao
vya maandalizi ya miak 50 ya uhuru pasipo kutoa udhuru.

Watanzania inabidi tutumia akili ya mbaimbawi tuwahukumu CDM katika masanduku ya kura kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2012 na tuwape kichapo kikubwa uchaguzi mkuu 2015. Hawa wamekosa uzalendo, wamebaki kushabikia sera za Mfadhili wao David Cameroon.

Wewe unaongelea uhuru wa nchi gani? Tanganyika ilikufa mwaka 1964. Ulishamwona nani anasheherekea birthday ya marehemu? Uhuru wetu tulishauuza kwa wazanzibar
 
Feedback,
Nakubaliana na wewe hapo juu na karibu kila kila comment zako huwa ni nzruri.
Ila nina swali footprint yako ( E L for ccm Chairman 2012) Matumaini yapo?

Tunasikitika sana siku zote CDM mnashabikia maandamano na kupinga wazo lolote linalotolewa na serikali yetu iliyochaguliwa na wananchi, KATIBA hamtaki kushiriki, na sherehe za Uhuru hamtaki???
Ama mmekasirika kutokana na msimamo wa serikali kukataa matakwa ya swahiba wenu CAMEROON? Poleni sie tupo busy na maandalizi ya sherehe, nyie mtaishie kutuangalia kwenye TV.


Kujitenga kwenu kunazidi kuwaweka mbali na wapiga kura TAFAKARI!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom