CHADEMA Kususa Mwenge na sherehe za miaka 50 ya UHURU ni KUKOSA UZALENDO

Heee .Makubwaaaaaaaaaaa.sasa huu mwenge una faida gani??????????hizo hela mnalipana kwenye vikao bora mngeboresha hospitali zetu tungeona mmefanya la maana..
 
Majibu ya kuboresha miundombinu ya elimu yameshapatikana. Chenji za rada zinaenda kutatua matatizo ya elimu ikiwepo kununua madawati na ujenzi wa nyumba za walimu. Shime tujiunge pamoja watz tuondoe tofauti za vyama TWENDE KUSHEREKEA MIAKA 50 YA UHURU KUENZI kazi iliyofanywa na waasisi wa nchi!!!
.........mkuu! sijafikiria kama uko serious, bado!!!!!!
 
Hii ni fursa pekee kwa watz kujiuliza, kutafakari pale tulipojikwa na kupata mkakati wa kitaifa, TUZIDI kusonga mbele.

Mwaka 1961, graduate walikuwa 12, leo wapo mitaani hawana idadi wengine wanatumika pasipo kujitambua kushiriki maandamano ya CDM; tuwe waungwana tujitambue maendeleo yamepatikana.

Leo watoka Mwanza hadi DSM siku moja.

UDOM ni ishara ya maendeleo katika elimu

Powertillers kwa wakulima walioingia katika KILIMO KWANZA

Mbona bakuli letu la kuomba omba linazidi kutanuka siku hadi siku ukilinganisha na ukubwa wa bakuli ulivyokuwa wakati tunapata uhuru kama kweli sasa tuna wasomi wengi na hivyo tunawazalisha mali wengi?
Mbona chakula kimekuwa bei ghali sana sasa hivi ukilinganisha na wakati tunapata uhuru? Kurahisisha mawasiliano (Kutoka Dar mpaka Mwanza kwa siku moja) kulitakiwa kupunguze makali ya bei za vyakula kwani sasa unaweza kuhamisha chakula kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa urahisi.
Mbona vijana wetu sasa hivi wanamaliza university (UDOM, etc) lakini hata sentensi ya kiingereza inawashinda kuisoma au kuiandika vyema wakati wale waliosoma kabla na mara baada ya uhuru (wakitumia matunda ya mtandao ulioachwa na wakoloni) walikuwa wana uwezo mkubwa sana wa kusoma, kuandika, kutunga vitabu na kuchambua mambo wakiwa darasa la nne tu?
Kama kweli unaitakia mema nchi yetu, natarajia utatoa majibu ya kuridhisha dhidi ya hoja zangu hapo juu au utakubaliana na mimi kwamba safari yetu ya miaka 50 tangu tupate uhuru ni ya kurudi nyuma kuliko kusonga mbele. Hivyo hatuhitaji kusheherekea miaka 50 ya uhuru. Tunahitaji kutafakari tatizo liko wapi ili miaka 50 ijayo tuweze kuondokana na umasikini huu ambao unawanyima watanzania haki ya kuishi kwa raha na starehe katika nchi yao kwa kufaidi matunda ya rasilimali zao walizojaaliwa na Muumba.
 
wewe na wenzako wote ni magamba tu,kunanini tunachokipata kutoka kwenye mwenge kama sio mimoshi aliyokuwa anapulizwa hadi rais wako? miaka hamsini sioni cha kujivunia zaidi ya magamba ya ccm.
 
Waungana katika pitapita zangu nimegundua wana CDM hawafurahi TZ kusheherekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
Dalili zimejoinyesha;-

1. Viongozi wao katika ngazi zote kutoshiriki vikao vya maandalizi ya Mwenge wa Uhuru
2. Viongozi wao kushindwa kushiriki kuukimbiza mwenge ulipofika katika maeneo yao; mfano Ubungo (mhe.Mnyika) na Kawe (mhe. Mdee ).
3. Wabunge wao wameshindwa kushiriki katika vikao vya maandalizi ya miak 50 ya uhuru pasipo kutoa udhuru.


Watanzania inabidi tutumia akili ya mbaimbawi tuwahukumu CDM katika masanduku ya kura kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2012 na tuwape kichapo kikubwa uchaguzi mkuu 2015. Hawa wamekosa uzalendo, wamebaki kushabikia sera za Mfadhili wao David Cameroon.
nadhani uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho kama babu zako magamba:eyebrows:
 
Waungana katika pitapita zangu nimegundua wana CDM hawafurahi TZ kusheherekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
Dalili zimejoinyesha;-

1. Viongozi wao katika ngazi zote kutoshiriki vikao vya maandalizi ya Mwenge wa Uhuru
2. Viongozi wao kushindwa kushiriki kuukimbiza mwenge ulipofika katika maeneo yao; mfano Ubungo (mhe.Mnyika) na Kawe (mhe. Mdee ).
3. Wabunge wao wameshindwa kushiriki katika vikao vya maandalizi ya miak 50 ya uhuru pasipo kutoa udhuru.


Watanzania inabidi tutumia akili ya mbaimbawi tuwahukumu CDM katika masanduku ya kura kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2012 na tuwape kichapo kikubwa uchaguzi mkuu 2015. Hawa wamekosa uzalendo, wamebaki kushabikia sera za Mfadhili wao David Cameroon.


AFANALEK!!! Ina maana wanakubaliana na sera ya us***ga?? Wakiingia madarakani tumekwisha kimaadili na kiutamaduni.
 
MAFILILI We mwongo na Mnafiki,Wewe Unasherehekea Miaka 50 ya Tanganyika lakini wenzako TBC 1 na Serikali yao ya CCM wanasema Tanzania Bara.Hadi hapo hata wewe haupo pamoja nao maana umesema Chadema hawasherehekei Miaka ya Tanganyika,ndio maana wako bize wanaisaka Tanganyika kupitia katiba mpya.Wanawafunza wananchi waipiganie Tanganyika yao .Chadema Hawawezi Sherehekea miaka 50 ya nchi ambayo haipo Duniani.Chadema Wanaitafuta Tanganyika ilikofichwa na CCM,Nadhani watashiriki miaka 55 mwaka 2016 watakapokuwa wanamiliki Magogoni na Tanganyika wanayoililia Watanganyika walio wengi.
 
Nani asherekee uhuru?Kwa lipi njema?Au kwa wizi uliofanywa na serikali ya CCM Kujinufainisha wao na watoto wao! Nawapongeza watanzania wote waliopinga na kususa sherehe hizo za uhuru wa mafisadi wa CCM.WALANIWE CCM na wote wanaosherekea uhuru wa mafisadi.
 
Waungana katika pitapita zangu nimegundua wana CDM hawafurahi TZ kusheherekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
Dalili zimejoinyesha;-

1. Viongozi wao katika ngazi zote kutoshiriki vikao vya maandalizi ya Mwenge wa Uhuru
2. Viongozi wao kushindwa kushiriki kuukimbiza mwenge ulipofika katika maeneo yao; mfano Ubungo (mhe.Mnyika) na Kawe (mhe. Mdee ).
3. Wabunge wao wameshindwa kushiriki katika vikao vya maandalizi ya miak 50 ya uhuru pasipo kutoa udhuru.


Watanzania inabidi tutumia akili ya mbaimbawi tuwahukumu CDM katika masanduku ya kura kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2012 na tuwape kichapo kikubwa uchaguzi mkuu 2015. Hawa wamekosa uzalendo, wamebaki kushabikia sera za Mfadhili wao David Cameroon.

Miaka 50 ya kusherehekea nini? Umaskini, Ufisadi na nchi kutokuwa na maendeleo pamoja na utajiri mkubwa tuliokuwa nao!? We ndo bado kweli!!!!
 
Miaka hamsini ni kwako mkuu unayefaidi keki ya uhuru, sisi wengine bado tunatafuta uhuru wa kweli na si uhuru wa bendera! Haingilii akilini mnasherekea miaka hamsini ya uhuru huku umasikini, ujinga na maradhi vinazidi kutuundama na waandaaji wa sherehe hizo wanaficha uozo kwa kuupaka perfume!

Unakaa sehemu gani ya Tanzania wewe? CDM kutoenda ni haki kabisa, huwezi kupoteza billions of money wakati akina mama wanajifungulia chini, watoto wanakalia mawe, 12km kutoka magogoni hamna maji ya bomba, miundombinu duni na rasirimali za nchi zikiporwa eti mnasherekea miaka hamsini ya uhuru! Inabidi tuomboleze maana miaka hamsini ya uhuru taifa linazidi kujichimbia kaburi chini ya wakoloni weusi ccm! Heri yako usiyoyaona haya!

Unajua ubongo unapochoka kufikiri unakuwa sio ww tena bali ni mtu mwingine. Nani alikuambia sherehe ni za matajiri tu , je maskini hawana haki ya kusheherekea? tunafanya sherehe kulingana na uwezo wetu na ndicho kinacho fanyika

 
MAFILILI We mwongo na Mnafiki,Wewe Unasherehekea Miaka 50 ya Tanganyika lakini wenzako TBC 1 na Serikali yao ya CCM wanasema Tanzania Bara.Hadi hapo hata wewe haupo pamoja nao maana umesema Chadema hawasherehekei Miaka ya Tanganyika,ndio maana wako bize wanaisaka Tanganyika kupitia katiba mpya.Wanawafunza wananchi waipiganie Tanganyika yao .Chadema Hawawezi Sherehekea miaka 50 ya nchi ambayo haipo Duniani.Chadema Wanaitafuta Tanganyika ilikofichwa na CCM,Nadhani watashiriki miaka 55 mwaka 2016 watakapokuwa wanamiliki Magogoni na Tanganyika wanayoililia Watanganyika walio wengi.

Ndoto zako za cdm kushika dola hebu jaribu tena kuota 3055 !

 
Jiulize sababu ya sisi kutumia mabilioni kuandaa sherehe za miaka 50 ya uhuru?!
Kwa mawazo yako unaona kushiriki kukimbiza mwenge ndio uhuru wenyewe sio? kwa mtazamo wako umuhimu wa mwenge ni nini kwa mtu anayelala na njaa na kutaabika na maisha kilakukicha!?
Wewe ni mmoja wa wenye mawazo mgando,samahani kama utaona nimekutusi, ila kiukweli umepumzisha sana ubongo wako na kwa hilo umenikera.
 
Well ni haki yao kutoshiriki ikiwa hawaoni cha kusheherekea. Kwanza tunaadhimisha miaka hamsini ya uhuru wa Tanzania au Tanganyika?
 
Hii ni fursa pekee kwa watz kujiuliza, kutafakari pale tulipojikwa na kupata mkakati wa kitaifa, TUZIDI kusonga mbele.

Mwaka 1961, graduate walikuwa 12, leo wapo mitaani hawana idadi wengine wanatumika pasipo kujitambua kushiriki maandamano ya CDM; tuwe waungwana tujitambue maendeleo yamepatikana.

Leo watoka Mwanza hadi DSM siku moja.

UDOM ni ishara ya maendeleo katika elimu

Powertillers kwa wakulima walioingia katika KILIMO KWANZA
nimekugongea like kwa sababu ya akili yako,wasomi wanatusaidia nini wakati tumekuwa nchi ya kwanza ombaomba bila sababu duniani?
hiyo u dom kumbi ni mpya zinanuka mavi kabla hata mwaka hazijamaliza,power tillers pale china zinauzwa laki tano ila zikifika hapa nchini zanauzwa milioni nane wewe unaona haki hiyo?
wakulima wa power tillers vifuani wamejaza tope tujiandae kwa misiba baada ya niaka miwili na hivi hospitali zetu hazina dawa tutakoma ,hizo kitu zimetengenezwa kwa ajili ya abustani sisi tunakuja kulimia heka 40 tutakufa.
 
alama za taifa la tanzania ni;
1.mwenge wa uhuru
2.wimbo wa taifa
3............
4............
5...............

kwa hiyo kuwa mpinzani siiiiiii kupinga kila kitu.tuheshimu misingi ya utaifa iliyoasisiwa na baba wa taifa hili.
 
Waungana katika pitapita zangu nimegundua wana CDM hawafurahi TZ kusheherekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
Dalili zimejoinyesha;-

1. Viongozi wao katika ngazi zote kutoshiriki vikao vya maandalizi ya Mwenge wa Uhuru
2. Viongozi wao kushindwa kushiriki kuukimbiza mwenge ulipofika katika maeneo yao; mfano Ubungo (mhe.Mnyika) na Kawe (mhe. Mdee ).
3. Wabunge wao wameshindwa kushiriki katika vikao vya maandalizi ya miak 50 ya uhuru pasipo kutoa udhuru.


Watanzania inabidi tutumia akili ya mbaimbawi tuwahukumu CDM katika masanduku ya kura kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2012 na tuwape kichapo kikubwa uchaguzi mkuu 2015. Hawa wamekosa uzalendo, wamebaki kushabikia sera za Mfadhili wao David Cameroon.
Mwenge huo na sherehe za miaka hamsini ni madawati mashuleni, madawa hospitali, vitanda vya wagonjwa, maji umeme vijijini au mwenge na sherehe za miaka hamsini ni nini umechanganyikiwa nini?????????

 
Back
Top Bottom