Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
sisi wengine nilo neno lina maana hiyo ambayo iko bold na nyekundu...sioni shida kama watu wanaokalia hiyo red wakiinyima kura chadema kama watafikiria kwa kutumia kiungo kilichonyuma ya red and bold.Kama wataipa ccm au cuf KWA SABABU HIYO basi to Hell....waipe!
Nasikia kuna mwanamuziki alipata kuimba juu ya mtu aliyetema bigijii kwa karanga za kuonjeshwa!
Kama Hoja inayobuniwa overnight na wanapropaganda inaweza kumfanya mtu abadili uamuzi utakaomcost kwa miaka 5, basi ujue hakuna dawa kwa mtu huyo, na hata angekupa kura, basi ujue ingeleta shida baadaye!
Hivi IPUMBULYA ni wapi NA MAANA YAKE NINI?