hivi na hao 'wananchi' upande wa kulia mwa picha watampa au watamnyima!?
By the way, ni juu ya watu wanaoishi kwa wakati huo wenye kuweza kufanya historia! Sana sana Lipumba, James Mapalala, Edwin Mtei, Chifu Fundikila, Dr. Slaa, Zitto Kabwe, Kafulila nk watakuwa wanakumbukwa na historia ya Tanzania kuwa waliwaeleza wananchi usiku na mchana lakini hawakusikia na kwa vile ni vigumu kuwa na jeshi la mtu mmoja na wao hawakuweza kuendelea na hiyo 'vita' lakini walijitahidi kufikisha ujumbe.
Kwani kuna baadhi ya wawakilishi wa majimbo ambayo mtu unaona hata aibu kusema natokea kwenye watu waliomchagua huyo mtu kufuatana na kutostahili kwake lakini haya yote yametokea hapahapa TZ.
Tuwaachie wana Igunga wafanye uchaguzi wao na historia itawasoma hivyo!
Mfano: Maji marefu