Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Kuna tetesi kwamba cdm inapanga maandamano kesho kupinga ongezeko kubwa ya nauli ya kivuko. Je kwa kuwa wanapinga nauli mpya, itawabidi wapige mbizi au watatii amri ya magufuli ya kulipa nauli mpya?na wakilipa si watakuwa wameunga mkono?tujadili
GZ
GZ