Sabodo nim2jasiri mwenye kupenda maendeleo ya nchi yake. Ni matajiri wangapi wanaweza kujitokeza hadharani na kusaidia CDM? Wengi wanauwezo ila wanaogopa wakifanya hivo either watachunguzwa mali zao maana hawazipati kihalali au kuna ukiukwaji mkubwa ktk ulipaji wa kodi. Go go go on Sabodo.