Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Kutoka wall ya Facebook page ya Chadema
Mpaka kieleweke mwaka huuMama Salma Kikwete ametumia ndege ya Serikali namba 5H TGF kwenye Kampeni za Kikwete. Dr. Slaa ameagiza wanasheria wa Chama kumfungulia kesi Salma Kikwete.