Wewe na Dr Slaa nani mwenye Chadema? Dr Slaa kaishasema hawezi kukubali kuhojiwa na Polisi wala kufungua kesi mahakamani wao kama Chadema hawana imani na polisi wala mahakama...Tundu Lissu naye akamalizia kwa kusema Majaji hawana uwezo huo ndio msimamo wa Chadema.
Mkuu vipi umeshahesabiwa?