Chadema kulikoni? Utitiri wa Vyeo (Mpango madhubuti wa kulindana huku mkibomoa chama)

Status
Not open for further replies.

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na umakini wa viongozi wake katika kuhakikisha kwamba vijana ni nguvu mabadiliko na wanauwezo wakuongoza na kulinda rasilimali za chama na mgawanyo wa madaraka.Sasa the top wa chama hicho wameamua kimyakimya kugawa madaraka/vyeo kwa watu wanaoona watatumika kulinda siri na mambo mbalimbali ya viongozi wa juu(zidumu fikra za Mwenyekiti)

Naweza kusema CHADEMA sasa imekomaa na kukua kuliko vile jamaa walivyokuwa wanategemea,kiasi kwamba imewawea vigumu kuukumbatia mbuyu huu wenye matawi yake karibia tanzania nzima.Hii imewapa wakati mgumu wamiliki wa chama namna gani wanaweza kulinda rasilimali zao na vyeo vyao....

Hao watu makini (tunaowaita sisi watanzania)wamekuja na mpango kabambe wa kuwagawia madaraka wale watu wanaoona watahakisha wanadumisha fikra za mwenyekiti

Naomba kutumia baadhi ya watu kama mifano tu...ilikuleta maana ya kile ninachokisema.

A.JOHN MNYIKA(Mbunge wa Ubungo)
Huyu ni mbunge wa jimbo la ubungo,amepewa majukumu ya fuatayo kuhakikisha nguvu ya vijana inaonekana.
1.Huyu ni mwenyekiti wa taasisi ya kiraia iitwayo ubungo foundation development.
2.Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa kinondoni
3.Mkurugenzi wa vijana makao makuu ya CHADEMA
4.Katibu wa wabunge wa CHADEMA
5.Waziri kivuli wa nishati na madini
6.Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA
7.Mjumbe wa sekretarait wa CHADEMA makao makuu
8.Kaimu katibu mkuu wa CHADEMA TAIFA
9.Mkurugenzi wa habari na uenezi wa CHADEMA TAIFA
10.Katibu wa wabunge mkoa wa Dar es salaam
Hivi huyu mtu anajigawaje katika majukumu yote haya,bila shaka ni kpenzi cha the top kwa sababu anadumisha fikra za mwenyekiti.

B.HEZEKIEL WENJE
1.Mbunge wa Nyamagana Mwanza
2.Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema
3.Mjumbe wa sekretarait wa Chadema
4.Na sasa Katibu mkuu wa chadema amemteua kuwa mkurugenzi wa mambo ya nje wa chadema ambapo automatic anahudhuria vikao vya utendaji wa chama makao makuu...ambavyo karibia kila baada ya siku 2 mbili vinafanyika nainatakiwa ahudhurie,,,Jimbo lipo wazi pale mwanza kwa sababu muda wake mwingi yupo pale makao makuu kwenye vikao vya chama.

C.MWIGAMBA
1.Ni mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima(freeman mbowe)
2.Ni mwenyekiti wa mkoa wa arusha
3.NI muhasibu wa chadema makao makuu
Huyu ameacha mkoa ukiwa hauna mwenyekiti(Dr.slaa analiona hilo) nakuitwa kuja kusimamia fedha za chama(uhasibu wa chadema makao makuu)Hadi dakika hii Arusha hapana mwenyekiti wa mkoa wa chama.

D.BENSON MLAMBA
1.Katibu wa CHADEMA mkoa wa tanga
2.Afisa wa habari wa chadema makao makuu
Huyu ameondolewa tanga kuja pale makao makuu kwa sababu za kusaidia kukumbatia mbuyu usiguswe na watu wengine.Ameacha mkoa wa tanga bila kuwa na katibu...huku Dr. akijua kwamba mkoa wa tanga hatuna diwani wala mbunge na chama kina suasua,Kwa mantiki hiyo huyu mtu alikuwa nakazi ya kujenga chama pale tanga.

MY TAKE:
Kumbuka hakuna chama chenye vijana wasomi na wenye utashi/uthubutu mkubwa wa kufanya mambo katika tanzania hii kama CHADEMA.....Lakini hili si rahisi kuliona Dr.slaa kwa sababu vijana waliowengi wameshatumika kwenye mbio za uchaguzi mkuu na sasa hawana thamani tena ndani ya chama hiki.
Kuna vijana wengi sana wamejitolea kujenga chama na wengine wameshapoteza degree zao kwa sababu wanakipenda chama.Wengine wamethubutu kuingia katika vinyang'anyiro mbalimbali vya udiwani,ubunge na wengine wamekuwa wakijitolea kuratibu kampeni mbalimbali za CHADEMA lakini kwa sasa nikama makarai mabovu ya kujengea nyumba.

Je?Kama chadema bado hawachukua dola wamesahau vijana wao,itakuwaje wakishika dola?
Au huu ndio ule mkakati madhubuti wa kulinda na kula keki ya chama watu wa chache huku mkiweka MORANI(tajwa) pembezoni msiguswe?.

Najua kunawatakao tukana na kukejeli kwa sabubu wamepofoka na mapenzi yao juu ya chama,huku wakijisahau kuwa chadema kinamapungufu yake hasa katika matumizi ya rasilimali watu(vijana) na kuwa dampu kama taka.
 
Naomba kutumia baadhi ya watu kama mifano tu...ilikuleta maana ya kile ninachokisema.

A.JOHN MNYIKA(Mbunge wa Ubungo)
Huyu ni mbunge wa jimbo la ubungo,amepewa majukumu ya fuatayo kuhakikisha nguvu ya vijana inaonekana.
1.Huyu ni mwenyekiti wa taasisi ya kiraia iitwayo ubungo foundation development.
2.Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa kinondoni
3.Mkurugenzi wa vijana makao makuu ya CHADEMA
4.Katibu wa wabunge wa CHADEMA
5.Waziri kivuli wa nishati na madini
6.Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA
7.Mjumbe wa sekretarait wa CHADEMA makao makuu
8.Kaimu katibu mkuu wa CHADEMA TAIFA
9.Mkurugenzi wa habari na uenezi wa CHADEMA TAIFA
10.Katibu wa wabunge mkoa wa Dar es salaam
Hivi huyu mtu anajigawaje katika majukumu yote haya,bila shaka ni kpenzi cha the top kwa sababu anadumisha fikra za mwenyekiti.

Najua kunawatakao tukana na kukejeli kwa sabubu wamepofoka na mapenzi yao juu ya chama,huku wakijisahau kuwa chadema kinamapungufu yake hasa katika matumizi ya rasilimali watu(vijana) na kuwa dampu kama taka.


Wewe ni Mzushi na Mzandiki mwenye kutaka kupandikiza migogoro CDM.Huna nia njema na chama zaidi ya Uchafuzi tu.Okay kwa mnyika;

JOHN MNYIKA(Mbunge wa Ubungo)
Huyu ni mbunge wa jimbo la ubungo,amepewa majukumu ya fuatayo kuhakikisha nguvu ya vijana inaonekana.
1.Huyu ni mwenyekiti wa taasisi ya kiraia iitwayo ubungo foundation development.-INA UHUSIANO GANI NA CHADEMA?
4.Katibu wa wabunge wa CHADEMA-KATIBU NI SILINDE LABDA UKO LESS INFORMED
6.Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA-KWA UWEZO WAKE ANASTAHILI
8.Kaimu katibu mkuu wa CHADEMA TAIFA-zitto ni nani?
10.Katibu wa wabunge mkoa wa Dar es salaam-Hii si nafasi ya CDM

Mkuu,hata kama unavitaka vyeo hivi wewe huwezi pewa kwa sababu huna sifa yoyote zaidi ya uzandiki
 
Majungu Express on the move...vijana hivi vyeo vitawaumiza sana matumbo fanyeni kazi mjiletee maendeleo kwani lazima wote muingie Bavicha? Heche sasa yuko kwenye full time employment hadi 2016.
 
Majungu Express on the move...vijana hivi vyeo vitawaumiza sana matumbo fanyeni kazi mjiletee maendeleo kwani lazima muwe nyie? Heche sasa yuko kwenye full time employment hadi 2016.

Mkuu EasyFit,
Umetoa point ya maana sana,watu wafanye kazi.Huyu jamaa anaitwa TUNTEMEKE amekalia majungu tu always.Ananikera sasa
 
chama kinajengwa na wanachama wenyewe na uongozi imara ni hule wenye uzoefu wa kutosha hli kwenda na mkikiki sa unataka wakuweke wewe NONSENSE ambaye hata exprience ya kuongoza watu kumi shida utaweza vjana zaidi ya mili 20 waliotapakaa nchi nzima 2mia akili umetumwa na MAGAMBA au NAWE NI MWANAASHA KWA KUSHINDWA KUFIKIRI JAMBO DOGO
my take.
chama kinaitajika kiwe na watu MAKINI na wenye uzoefu wa kutosha kwani kinapanuka kwa kasi mno

USHAURI WAKO MZURI LAKINI HATUTAUFANYIA KAZI
 
Najua kunawatakao tukana na kukejeli kwa sabubu wamepofoka na mapenzi yao juu ya chama,huku wakijisahau kuwa chadema kinamapungufu yake hasa katika matumizi ya rasilimali watu(vijana) na kuwa dampu kama taka.

TUNTEMEKE tena wewe sio tu unastahili kuwa dumped tu,wewe unastahili kuwa shreaded
 
a. Mnyika ana uroho wa madaraka na hii ni hatari huwezi kusema no please..unajua vyao hadi 10 lol..

b. Mnyika ameziba nafasi 7 muhimu za vijana wengine kuonyesha uwezo wao...na ajira pia..

c. Mnyika either ana uwezo sana au ni kwamba ni yes man..vyeo zaidi ya 10?

conclusion: Nimesahau kumbe tunaongelea chagga development manifesto..lol
 
Najua kunawatakao tukana na kukejeli kwa sabubu wamepofoka na mapenzi yao juu ya chama,huku wakijisahau kuwa chadema kinamapungufu yake hasa katika matumizi ya rasilimali watu(vijana) na kuwa dampu kama taka.
Ndugu yangu, Tuntemeke, ukileta ukosoaji wowote wa Chadema humu jukwaani, najua kitakachokupata.

Japo mimi sio Chadema na huwa huru to speak my mind, nimekusoma na kugundua mwenzangu una matatizo!. Kwa wewe ni Chadema, si busara kuleta sebuleni kuanika nguo zenu za ndani mbele ya wageni!. Acha kwanza huyu mgeni kwa jina la 'Arumeru' apite ndipo uendelee kutuanikia mauchafu yenu ya ndani mbele ya kadamnasi ya watu kwa kudhani yatasaidia!.

Kisaikolojia unaonekana kuna vitu umeumizwa, na inawezekana wewe nyota yako ni nnge, hivyo umedhamiria ku hit back with a sting, ili kujeruhi Chadema, ili kikiangukia pua huko Arumeru, wewe ndio upate gratification!.

Just do the right thing at the right time!, this is not the right time kwa hayo. Sasa Chadema needs to come together mote than anyother time, ili kikishindwa, kisitafute mchawi bali kikae chini na kujitathmini upya, sio kuangalia wapi kilipoangukia, bali pale walipo jikwaa!.

Pasco
 
chama kinajengwa na wanachama wenyewe na uongozi imara ni hule wenye uzoefu wa kutosha hli kwenda na mkikiki sa unataka wakuweke wewe NONSENSE ambaye hata exprience ya kuongoza watu kumi shida utaweza vjana zaidi ya mili 20 waliotapakaa nchi nzima 2mia akili umetumwa na MAGAMBA au NAWE NI MWANAASHA KWA KUSHINDWA KUFIKIRI JAMBO DOGO
my take.
chama kinaitajika kiwe na watu MAKINI na wenye uzoefu wa kutosha kwani kinapanuka kwa kasi mno

USHAURI WAKO MZURI LAKINI HATUTAUFANYIA KAZI


Hiyo ndio chadema bana..lol
 
Ndugu yangu, Tuntemeke, ukileta ukosoaji wowote wa Chadema humu jukwaani, najua kitakachokupata.

Japo mimi sio Chadema na huwa huru to speak my mind, nimekusoma na kugundua mwenzangu una matatizo!. Kwa wewe ni Chadema, si busara kuleta sebuleni kuanika nguo zenu za ndani mbele ya wageni!. Acha kwanza huyu mgeni kwa jina la 'Arumeru' apite ndipo uendelee kutuanikia mauchavu yenu mbele ya watu kwa kudhani yatasaidia!.

Kisaikolojia unaonekana kuna vitu umeumizwa, na inawezekana wewe nyota yako ni nnge, hivyo umedhamiria ku hiti back with a sting, ili kujeruhi Chadema, ili kikiangukia pua huko Arumeru, wewe ndio upate gratification!.

Just do the right thing at the right time!, this is not the right time kwa hayo. Sasa Chadema needs to come together mote than anyother time, ili kikishindwa, kisitafute mchawi bali kikae chini na kujitathmini upya, sio kuangalia wapi kilipoangukia, bali pale walipo jikwaa!.

Pasco

Unamshauri mwenzako kuficha maovu..

Sio tabia nzuri kuendekeza vyama vinavyopata ruzuku ya serikali..

Heri yeye amesema kuliko anayetaka kuficha ukweli.
 
Ndugu yangu, Tuntemeke, ukileta ukosoaji wowote wa Chadema humu jukwaani, najua kitakachokupata.

Japo mimi sio Chadema na huwa huru to speak my mind, nimekusoma na kugundua mwenzangu una matatizo!. Kwa wewe ni Chadema, si busara kuleta sebuleni kuanika nguo zenu za ndani mbele ya wageni!. Acha kwanza huyu mgeni kwa jina la 'Arumeru' apite ndipo uendelee kutuanikia mauchavu yenu mbele ya watu kwa kudhani yatasaidia!.

Kisaikolojia unaonekana kuna vitu umeumizwa, na inawezekana wewe nyota yako ni nnge, hivyo umedhamiria ku hiti back with a sting, ili kujeruhi Chadema, ili kikiangukia pua huko Arumeru, wewe ndio upate gratification!.

Just do the right thing at the right time!, this is not the right time kwa hayo. Sasa Chadema needs to come together mote than anyother time, ili kikishindwa, kisitafute mchawi bali kikae chini na kujitathmini upya, sio kuangalia wapi kilipoangukia, bali pale walipo jikwaa!.

Pasco

Mkuu Pasco,

Ni kweli kuan hulka hiyo hasa katika challenges zizazo iface CDM.Ila mleta mada anaonekana kama yuko kwenye vita na CDM,Sio mkosoaji kama anavyojiita yeye.Ni mtu ambaye anahuzunika kutokana na kukosa nafasi fulani.So anaamua kukichafua chama kwa nguvu zote.Nina wasiwasi atakuwa sio MwanaCDM kwa maana ya kuwa na Mapenzi na CDM.Amekuwa Pandikizi na CDM wamemgundua na kumweka pembeni,so is fighting the war
 
Wewe ni Mzushi na Mzandiki mwenye kutaka kupandikiza migogoro CDM.Huna nia njema na chama zaidi ya Uchafuzi tu.Okay kwa mnyika;

JOHN MNYIKA(Mbunge wa Ubungo)
Huyu ni mbunge wa jimbo la ubungo,amepewa majukumu ya fuatayo kuhakikisha nguvu ya vijana inaonekana.
1.Huyu ni mwenyekiti wa taasisi ya kiraia iitwayo ubungo foundation development.-INA UHUSIANO GANI NA CHADEMA?
4.Katibu wa wabunge wa CHADEMA-KATIBU NI SILINDE LABDA UKO LESS INFORMED
6.Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA-KWA UWEZO WAKE ANASTAHILI
8.Kaimu katibu mkuu wa CHADEMA TAIFA-zitto ni nani?
10.Katibu wa wabunge mkoa wa Dar es salaam-Hii si nafasi ya CDM

Mkuu,hata kama unavitaka vyeo hivi wewe huwezi pewa kwa sababu huna sifa yoyote zaidi ya uzandiki

Majibu ya mwanamke si kuzote niyakukukurupuka..wewe mtu gani atapewa vyo zaidi ya 10?akina mabere marando hawapo?akina mwesiga baregu wapo wapi?
 
Majungu Express on the move...vijana hivi vyeo vitawaumiza sana matumbo fanyeni kazi mjiletee maendeleo kwani lazima wote muingie Bavicha? Heche sasa yuko kwenye full time employment hadi 2016.
Bavicha,bavicha yaani kila kelel wewe unaelekza bavicha sehemu ambyo kituo kilisha hamishwa mapema.Utasema majungu,utasema kila aina ya neno lakini ukweli utabakia palepale CHADEMA inawasomi wengi na wenye uzoefu wa kazi lakini nafasi yao inafutika kutokana na mtindo huu wa mora
 
kwel PAA MBUMBUMBU we marando unajua yupo wapi nenda darasan bwana mdogo jamii forum inatakiwa iheshimke m2 anayechangia anakiwa awe na elimu kuanzia bachelor huyu pu..bavu kama mwanaasha nimekudharau sana kwa kukurupuka pasipo kujua mambo kavae nguo ndo uje uchangie
 
Mawazo ya TUNTEMEKE hayapishani na haya

Chadema sasa mnachosha.... kwa nini mnawalimbikiza wabunge kazi zaidi wakati walizonazo tayari ni mzigo kwa chama?.. Vijana wengine wapo kwa nini hawatumiwi hawa!..Sipingi swala la Mnyika kuteuliwa nafasi hii, bali nadhani wapo vijana wengi sana wenye uwezo ari na wamejikita ktk media wanaweza kuifanya kazi hii kila siku masaa 16 kwa malipo madogo sana kuliko kumshindilia mtu mmoja majukumu kibao.. Mtamzeesha huyu dogo kabla ya wakati wake.

Swali langu ktk uteuzi huu, Je, Hawa viongozi wa chama na ni wabunge pia hawapokei mishahara miwili kwa kutoa huduma hizi?.. mathlan Mnyika leo hii pato lake haliongezeki kwa kupewa jukumu hili zaidi maana twende mbele turudi nyuma. Kupinga posho pekee haitoshi ikiwa chama kinawapa madaraka kundi la watu wale wale tu hii inaashiria zaidi kwetu kama ni ULAJI zaidi kwao..
- Mtanisamehe nawakilisha mawazzo yangu.
 
Unamshauri mwenzako kuficha maovu..

Sio tabia nzuri kuendekeza vyama vinavyopata ruzuku ya serikali..

Heri yeye amesema kuliko anayetaka kuficha ukweli.
Topical, sijamshauri kuficha maovu kwa sababu mimi mwenyewe ni mkosoaji!. Kwa vile yeye ni Chadema tena anaonekana ni inside man, kwanza sio busara siri za ndani kuzitoa nje!. Pili saa hizi mmekusanyika sebuleni wageni kibao kujadili mahari ya mwali mpya kwa jina la Arumeru, sio vizuri kuanza kuanika kulalamika mbele ya wageni kisa tuu wewe ulikosa nyama!. Acha wageni wa mahari waondoke kalipieni hiyo mahari mumpose mchumba na mkishampata mchumba "Arumeru" ndipo unapeleka malalamiko yako. Hii sio timing nzuri kulalamika!. Mwenzenu ambae haio, mwishoe ataoa huku mnashuhudia!, shutuma zote za kumkosa mchumba zitakushukia wewe!.

Ila pia huyu jamaa ana tabia za kike zinaitwa 'naging' yaani analeta gubu kwa Chadema kama mke aliyeichoka ndoa sasa anafanya visa ili apewe talaka ndipo aende kwa bwana mwingine!. Namshauri ajiendee zake kwa huyo bwana bila kuleta kashfa kibao!. Tuntemeke just go!.
 
Please can someone help me to differentiate these two photos who is who

avatar11515_2.gif
and
avatar33837_4.gif


thanks, see you soon.
 
Ndugu yangu, Tuntemeke, ukileta ukosoaji wowote wa Chadema humu jukwaani, najua kitakachokupata.

Japo mimi sio Chadema na huwa huru to speak my mind, nimekusoma na kugundua mwenzangu una matatizo!. Kwa wewe ni Chadema, si busara kuleta sebuleni kuanika nguo zenu za ndani mbele ya wageni!. Acha kwanza huyu mgeni kwa jina la 'Arumeru' apite ndipo uendelee kutuanikia mauchafu yenu ya ndani mbele ya kadamnasi ya watu kwa kudhani yatasaidia!.

Kisaikolojia unaonekana kuna vitu umeumizwa, na inawezekana wewe nyota yako ni nnge, hivyo umedhamiria ku hit back with a sting, ili kujeruhi Chadema, ili kikiangukia pua huko Arumeru, wewe ndio upate gratification!.

Just do the right thing at the right time!, this is not the right time kwa hayo. Sasa Chadema needs to come together mote than anyother time, ili kikishindwa, kisitafute mchawi bali kikae chini na kujitathmini upya, sio kuangalia wapi kilipoangukia, bali pale walipo jikwaa!.


Leo Pasco umetoa point...

Huyu Tuntemeke anashida binafsi na viongozi wa juu wa chadema...akidhani kwa kufanya hivo itakuwa ni faida. Ngoja nifananishe cdm (chama kinachokua/kipya) na biashara mpya...Ukiwa wewe ni mfanyabiashara ukitaka faida kwa haraka na kuepuka gharama ya uendeshaji karibu kazi nyingi utafanya mwenyewe au utawapa wachache kazi nyingi iwezekanavyo ili kuepuka gharama za kuajiri wengi na kuwalipa... Tuntemeke haelewi misingi hii. Wakati bado chadema kinahitaji kukua na kujiendesha kwa kujitolea sana na kwa gharama kidogo sana maana nahisi hawana pesa nyingi za kuwa na team kubwa ya watu kugawana hizo titles anazotaka zisambazwe kwa wengi, basi hapo wachache watafanya kazi nyingi sana kwa gharama kidogo na huenda hata sehemu kubwa wanajitolea....suala hapo nadhani nani atapewa ... yeyote yule...Hata Tuntemeke ungeweza kuwa miongoni wao ila bahati mbaya umekuwa sio miongoni mwao au kama ni miongoni mwao basi wewe ni mnafiki na unashida kubwa sana kichwani mwako....

Nimefuatilia threads za Tuntemeke karibu zote yeye ni kwamba anakisilani na chadema...na nilishawahi sema kuwa ni wale walio tumwa au kununuliwa kwa mission maalum ya kubomoa chadema isifanikiwe. But hata kama cdm viongozi wake anawaona wanamapungufu mengi....ambapo siwezi kushangaa maana nao ni wanadamu....basi Tuntemeke unamapungufu mengi zaidi na unaonekana wazi sana katika threads zako. Pasco amekuambia unashida ya kisaikolojia na kuna kitu umeumizwa nacho....kuna ukweli mkubwa sana katika hilo. Sasa dawa si hivo unavo fanya bali ni heri kutulia au kuachana kabisa na huo mpango mbaya ulio nao haukuasidii wewe wala taifa letu
 
Topical, sijamshauri kuficha maovu kwa sababu mimi mwenyewe ni mkosoaji!. Kwa vile yeye ni Chadema tena anaonekana ni inside man, kwanza sio busara siri za ndani kuzitoa nje!. Pili saa hizi mmekusanyika sebuleni wageni kibao kujadili mahari ya mwali mpya kwa jina la Arumeru, sio vizuri kuanza kuanika kulalamika mbele ya wageni kisa tuu wewe ulikosa nyama!. Acha wageni wa mahari waondoke kalipieni hiyo mahari mumpose mchumba na mkishampata mchumba "Arumeru" ndipo unapeleka malalamiko yako. Hii sio timing nzuri kulalamika!. Mwenzenu ambae haio, mwishoe ataoa huku mnashuhudia!, shutuma zote za kumkosa mchumba zitakushukia wewe!.

Ila pia huyu jamaa ana tabia za kike zinaitwa 'naging' yaani analeta gubu kwa Chadema kama mke aliyeichoka ndoa sasa anafanya visa ili apewe talaka ndipo aende kwa bwana mwingine!. Namshauri ajiendee zake kwa huyo bwana bila kuleta kashfa kibao!. Tuntemeke just go!.

Just imagine jamaa anasema tukae kimya eti kwa sababu mgeni amewasiri?yaani hakuna kuisema CHADEMA kwa sababu ya uchaguzi wa arumeru?upo adicted na mapenzi ya chadema kiasi hiki?...pole.
Kunautofauti gani na CCM waosema no kuandamana au kudai haki yako yoyote hadi BUSH aoondoke?akisha ondoka ndipo tufungue midomo yetu.Pole sana pasco
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom