Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,884
- 32,283
Wakuu JF,
Nimepewa habari na jamaa yangu wa karibu ambae ni mmoja wa viongozi wa juu wa Chadema.
Kaniambia kuwa Chadema wanajipanga kufanya maadamano makubwa nchi nzima kupinga kitendo cha polisi kumnyanyasa kamanda Lema, mbunge wa Arusha Mjini.
Mipango ya maandalizi inafanywa Mwenyekiti wa Bavicha taifa, John Heche
Nimepewa habari na jamaa yangu wa karibu ambae ni mmoja wa viongozi wa juu wa Chadema.
Kaniambia kuwa Chadema wanajipanga kufanya maadamano makubwa nchi nzima kupinga kitendo cha polisi kumnyanyasa kamanda Lema, mbunge wa Arusha Mjini.
Mipango ya maandalizi inafanywa Mwenyekiti wa Bavicha taifa, John Heche