viongozi wakuu wako kufungua matawi ktk chuo cha TEKU,Ktk uwanja wa uhasibu watu ni wengi wanasubiqiwa viongozi 2Mh. Regia uko wapi? Mbona mpaka sasa hii kimya? inamaanahata watu hawajaanza kukusanyika sehemu yatakapoanzia maandamano? to - update tafadhali.