Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Chama cha demokrasia na maendeleo tawi la London wanapanga kukutana hivi karibuni kupanga mikakati ya kuhakikisha hakubaki hata mwanachama mmoja wa ccm huku ulaya.
Kwa Kufanikisha hivyo, kamati kuu itakutana muda wowote kupanga ziara ambayo itafanywa na mwenyekiti wake CHRIS LUKOSI akiongozana na viongozi wenzake kuzunguka Uingereza yote na halafu pia wataenda nchi zote za ulaya zenye watanzania wengi kuendeleza operesheni vua gamba vaa gwanda ugaibuni.
Habari kamili baadae...
UWEZO WA KUING'OA CCM TUNAO.
NIA YA KUING'OA CCM TUNAYO
NA SABABU ZA KUING'OA CCM TUNAZO!
PIPOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOZ!
Kwa Kufanikisha hivyo, kamati kuu itakutana muda wowote kupanga ziara ambayo itafanywa na mwenyekiti wake CHRIS LUKOSI akiongozana na viongozi wenzake kuzunguka Uingereza yote na halafu pia wataenda nchi zote za ulaya zenye watanzania wengi kuendeleza operesheni vua gamba vaa gwanda ugaibuni.
Habari kamili baadae...
UWEZO WA KUING'OA CCM TUNAO.
NIA YA KUING'OA CCM TUNAYO
NA SABABU ZA KUING'OA CCM TUNAZO!
PIPOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOZ!