Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Akisoma maadhimio kumi na sita mbunge wa Ubungo Mh. John Mnyika amesema chama chake kipo njiani kuishitaki serikali kutokana na makada wake kumi na tano kuuawa na serikali kukaa kimya.
Mnyika aliweka wazi toka chaguzi mbali mbali ndogo zianze chama chake kimekuwa kikipoteza makada wake katika mazingira ya kutatanisha na serikali kukaa kimya kama hanma kitu kilichotokea.
Source ITV.
Mnyika aliweka wazi toka chaguzi mbali mbali ndogo zianze chama chake kimekuwa kikipoteza makada wake katika mazingira ya kutatanisha na serikali kukaa kimya kama hanma kitu kilichotokea.
Source ITV.