vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,803
- 2,185
Waziri wasira anasema Serikali itakichukulia hatua kali Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa rafu zake, kwamba serikali ni kama refa wa kufanya maamuzi. Kasema rafu za CHADEMA zinatishia Amani na Utulivu wa taifa tuliokua nao tangu awali.
My take: haya mauaji yanayofanyika mara kwa mara yanaweza yakawa na mkono wa serikali, yaweza kuwa mkakati wa kukichafua CDM na kufanya kionekane tofauti mbele ya wananchi. Na hii ni baada ya fitina za Udini na Ukabila kushindwa!
Huyu mzee si wa kuupuuza hata kidogo, kuna kitu kinakuja lakini hajawa muwazi kukisema moja kwa moja, binafsi kama ulivyoelezea mauaji yote haya yanayofanywa yaelekea ni mkakati uliopangwa in a harsh and panic way ambao lengo lake ndio hiyo aliyoisema huyu mzee,
Wanachokitafuta na kilichobakia sasa hivi ni ku fix connection fake itakayohusisha moja kwa moja CDM na mauaji haya, msishangae siku moja akajitokeza mtu aliyelipwa mifedha na hawa akina Wassira akasema alifanya mauaji fulani mahali fulani kwani alitumwa na kulipwa na CDM au Dr Slaa,
Kamwe CDM wasifikiri CCM itaondoka madarakani hivi hivi kwani tayari walishasema watatawala milele, Naomba tu CDM wawe waangalifu sana na move zao wasije wakadondokea kwenye mitego yao ya kizamani
Ila jamani ukweli sasa hivi CCM hana amani kabisa na CDM kwani hali halisi ya watu kutoka usingizini nao wanaona