Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Ninachozungumzia ni changamoto kwa CDM kujiimarisha kisiasa, sijakuelewa unachobisha ni nini? na content ya thread yangu inaongelea CDM na hivyo muamko ninaouongelea unahusiana na CDM ambacho hujaelewa ni nn?Sasa kama hakuna mikakati ya ku-penetrate kama ulivyosema tutegemee miujiza?
Ninachokiona hapa ni wewe kutubabaisha katika thread yako na kukosea kiswahili...tatizo lako hukutumia lugha uliyotakiwa kuitumia. Hata Tanzania hakuna mkoa usio na mwamko wa kisiasa wewe na unatakiwa uelewe kuwa mwamko wa kisiasa si kuijua na kuishabikia CHADEMA pekee.