Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Taarifa zilizotolewa jana na mkurugenzi wa Nec kuwa vituo vya kupigia kura viko 51732 nchi nzima.
Changamoto kwa chadema ni kuwa;Ni vema ikafanya utaratibu wa kuwalipa mawakala wake japo kwa kiwango cha shs.20,000 kwa siku YA UPIGAJI KURA ili kuwapa uhakika wa kifuta jasho ktk zoezi la usimamizi na pia kupunguza vishawishi.
Kwa mfano kama chadema wakiamua kuweka wakala katika vituo nagalau 85% ya vituo vyote ina maana wataweka mawakala 43,972 nchi nzima.Mawakala hawa wakilipwa shs.20,000 gharama itakuwa: vituo 43,972* shs.20,000= shs 879,440,000
Kwa kufanya hivyo tutapunguza ushawishi wa kupenyezwa kwa pesa haramu na pia kwa kuwa tutakuwa tumeweka mawakala loyal kwa chama tuna uhakika wa kulinda kura zetu.Tukumbuke kulinda kura ni gharama na gharama ndiyo hizo
Mnasemaje? Basi wanaJF tuanzia hapa kujadili.KARIBUNI..........
Changamoto kwa chadema ni kuwa;Ni vema ikafanya utaratibu wa kuwalipa mawakala wake japo kwa kiwango cha shs.20,000 kwa siku YA UPIGAJI KURA ili kuwapa uhakika wa kifuta jasho ktk zoezi la usimamizi na pia kupunguza vishawishi.
Kwa mfano kama chadema wakiamua kuweka wakala katika vituo nagalau 85% ya vituo vyote ina maana wataweka mawakala 43,972 nchi nzima.Mawakala hawa wakilipwa shs.20,000 gharama itakuwa: vituo 43,972* shs.20,000= shs 879,440,000
Kwa kufanya hivyo tutapunguza ushawishi wa kupenyezwa kwa pesa haramu na pia kwa kuwa tutakuwa tumeweka mawakala loyal kwa chama tuna uhakika wa kulinda kura zetu.Tukumbuke kulinda kura ni gharama na gharama ndiyo hizo
Mnasemaje? Basi wanaJF tuanzia hapa kujadili.KARIBUNI..........