Katiba sio tatizo tatizo ni kufanya hoja hii kuwa ya chama furahi ndo mwanzo wa kutuvurungaMkuu katiba bora si kwa ajiri ya chadema na wanachadema tu,ila ni kwa faida yako na kizazi chako pia,jaribuni sometime kutumia hata akili kidogo mliyoachiwa na ccm, msiitumie tu kuvukia Barbara na kupiga vigelegele