Mbona yupo sana anajitokeza kwa majina tofauti, siku nikimuona nitamwita jina kwa sauti ili kila mtu asikie nafikiri umenielewa.Ndg Quinine, jina lako limenikumbusha Malaria Sugu! Hivi kapoteza maisha nini? Mbona simsikii huyu ndg yangu mpendwa? Inamaana hakuwa anakunywa Quinine?
Pamoja sana mkuu!
Unaona sasa, kuongea humu ndani ni rahisi kuliko kutenda! Jamaa wanaambiwa maandamano kesho wanaanza kusema ooh kila la kheri, mara oooh pamoja sana! Upuuzi mtupu. Msikae kudanganyana humu mtapotezana bure. Na tuone huyo wa kwanza kesho kati yenu kutoa pua pale. Mnawasakizia wamachinga tu nyie mna tai shingoni. Utumbo plus!!
kwenye red ... i don't understand what are you meaning
greatthinkers;
kwanza ifahamike kwamba dr. Slaa huwa hafanyi mambo kwa kubabaisha,ukweli ni kuwa kibali kipo tayari.
Najua watu wengi wanatamani waruke waje mwanza ila unaweza kushiriki japo kwa kutoa maoni juu nini kiandikwe ktk mabango kesho.
Sentensi iwe fupi ujumbe uwe wa kiingereza au kiswahili. Unaobeba hisia na machungu ya watanzania.
Kwa wale wanaotoka hapa mwanza hitimisho la maandamano itakuwa uwanja wa furahisha.
Nchi tajiri, wananeemeka watoto wa akina fulani, wengine tubaki kuwa vijakazi wao.
:rain:no way!:a s 13:
toa japo lako moja tu mkuu.dah hata sijui yasemeje manake mambo mengi sana yanawasumbua watz na mafisadi wamelala tu!
hoja dhaifu haina mashiko.......
kwenye red ... i don't understand what are you meaning
Mimi nimeshauelewa uwezo wako wa akili Ulivyo wa kiwango cha juu mkuu, hoja yako ni ya msingi kabisa. Mawazo yako na uelewa wako ni wachache sana wamefikia kiwango hicho. Mfano kwa uchache ni mhe. Makamba, viwango vyenu viko level mojammekalia peoples power badala ya kwenda kusoma..aaagghhrr, si ajabu ya kina Lema ya Sky over
be smart natoka BKB kwenda Mwanza kwa ajili ya maandamano.