Chadema kuajiri wanajeshi nini maana yake?

CHADEMA kikitangaza nafasi za kazi tena kwa Wa-Tanzania wenzao ili wawe na uhakika wa usalama wa viongozi wake na mali za chama kote nchini wewe hili linakupa shida gani??????????

yaani maswali hayo unayojiuliza ndiyo na mimi najiuliza why now? kwani chadema imeanza lini? je ilikuwa na walinzi wa namna gani? kwanini watu wanakurupuka bila kuliangalia hilo? Mwakembe alivoona usalama si shwari kwake hakuajiri mwanajeshi ili aliliomba jeshi limlinde. Mie siamini kama toka enzi chadema ianze eti haikuwa na walinzi kwenye ofisi zake. Na mkuujua kuwa wenye jukumu la kulinda usalama wa watanzania ni askari waliopo chini ya serikali.
 
There is nothing wrong with the move instead something is wrong with U.

Ushauri wa bure! Acha unafiki na ushabiki wa kisiasa. For once jaribu kuwa objective na kufikiria mbali zaidi.

Ur common sense should tell U that mtu mwenye nia mbaya dhidi ya mwingine hawezi kuwa public. Is that so kwamba CDM ndio taasisi pekee iliyowahi kuajiri watu wenye military background.

In all wise hata watu wenye military background wanahitaji ajira pia.

Ndio maana nasema acha unafiki,vinginevyo ujieleze vizuri zaidi ni shida gani umeiona kwa hiyo move.

Dogo naona umekurupuka kujibu, kwanza ungelitafuta gazeti na ukisha maliza kulisoma ndio ungejua mnafiki ni yupi kati yako wewe unayeshabikia au yule kiongozi aliyeanzisha ajira hizo kichinichini. Kama unajua ulichokiandika niambie kama Chadema toka ianze haikuwa na walinzi katika ofisi zao? na je kwanini mpango huo wa kuwaajiri unafanyika kwa njia za sirisiri. kasome gazeti la Hoja ili ujue mpango huo umegundulika vipi.
 
Back
Top Bottom