Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
Imekuwa wimbo bagbo,misri,tunisia weka na yemen,syria,libya etc.Wenye nia ya kutenda huwa hawapayuki.Narudia hizi ni kelele za chura ndani ya tope kama hayo unayotamani yatokee,Watanzania wangekuwa na akili kama zako mapema wangetekeleza.
Sikiliza bwana mdogo,Watanzania nao ni binadam,ao,hawapendi kupoteza maisha yviungo vyao(ulemavu),makazi yao na pengine kuwa wakimbizi kwa sababu ya hao unaowatetea ambao hawana kovu lolote zaidi ya kuanguka bafuni.Mifano tunaiona inavyozidi kuwa tata Libya na Syria ambapo maelfu ya watu yamepotea.
Mbona tunaangaika na wanasiasa hawa wasio na upako kwa Mungu(wengi chanzo cha machafuko),ningefurahi kama moyo huu ungekuwa nao katika imani yako Msikitini au Kanisani ukizidisha maombi ili uweze kuona pepo.
Ni kweli watanzania tuna moyo huo! wa kukubali kuendelea kuwa maskini na kuishi maisha ya tabu huku wachache wetu wakila bata kwa mrija,kwa kutumia jasho letu.Mungu atujalie kuendelea kuwa na moyo huu!ili tanzania iendelee kuwa na amani na umaskini.